Childhood diplomacy
Member
- Sep 22, 2017
- 38
- 15
kama ulishaipata shukru sana mimi saiz huu mwezi wa pili ambacho walikifanya walinipa namba ya kampuni ambako nilikosea ndo wanairudishie mpka nimekata tamaaM-PESA (VODACOM TANZANIA)
Jamani, mimi binafsi siwaelewe VODA NA MPESA, hivi kwa nini ukikosea kutuma pesa au kufanya malipo inachukuwa muda mrefu sana kurudi kwenye akaunti, Yani nimeongea na Huduma kwa mteja ananiambia nisubili siku saba, kati ya siku zote nimekuwa discouraged sana kutumia VODACOM kwenye transactions za pesa..
MY.QNS Hivi hili tatizo la kuchelewa kufanya reversal nakumbana nalo mimi tu, au na wadau wengine, kwa sababu inaumiza sana,,,,,
############Yajayo wanafurahisha wanasema ivo...