Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

M-PESA (VODACOM TANZANIA)

Jamani, mimi binafsi siwaelewe VODA NA MPESA, hivi kwa nini ukikosea kutuma pesa au kufanya malipo inachukuwa muda mrefu sana kurudi kwenye akaunti, Yani nimeongea na Huduma kwa mteja ananiambia nisubili siku saba, kati ya siku zote nimekuwa discouraged sana kutumia VODACOM kwenye transactions za pesa..


MY.QNS Hivi hili tatizo la kuchelewa kufanya reversal nakumbana nalo mimi tu, au na wadau wengine, kwa sababu inaumiza sana,,,,,
kama ulishaipata shukru sana mimi saiz huu mwezi wa pili ambacho walikifanya walinipa namba ya kampuni ambako nilikosea ndo wanairudishie mpka nimekata tamaa


############Yajayo wanafurahisha wanasema ivo...
 
Nimetoka kuongea na customer care wenu hivi punde, ni washenzi sana yaan huyu dada ananikaripia wakati mi ni mteja? Shenzi.
 
Nimetoka kuongea na customer care wenu hivi punde, ni washenzi sana yaan huyu dada ananikaripia wakati mi ni mteja? Shenzi.
Sorry, nimekosea badala ya nmb nimepost kwenye vodacom. Voda nyie hamjawahi kuniangusha
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Utasikia basi limeua wanne,
Piki piki imeua sita,
Au waliokufa muhimbili wamefika 100 kwa mwaka jana,
Meli ya Nungwi imeua 60,

Na hao ni wateja wa M-PESA, Tigo pesa na Airtel money,

Hela zao zinaendaga wapi?

Kuna utaratibu upi wa kuwapatia survivorship au next of kin wao?
 
Utasikia basi limeua wanne,
Piki piki imeua sita,
Au waliokufa muhimbili wamefika 100 kwa mwaka jana,
Meli ya Nungwi imeua 60,

Na hao ni wateja wa M-PESA, Tigo pesa na Airtel money,

Hela zao zinaendaga wapi?

Kuna utaratibu upi wa kuwapatia survivorship au next of kin wao?
 
namba yangu ya voda haipokei call za tgo na airtel baadhi na hata sms namba yangu 0764883712
 
Vodacom huu ushenzi wa mtu kununua bundle alafu ndo mnamtumia eti furahia instagram bure na Facebook yenye picha muache kabsa.
Mbona kabla ya kununua bundle hamtoi izo offer?
 
Leo ni siku ya nane hakuna huduma ya mtandao wenu Geita wilaya ya Mbogwe Masumbwe hebu shughulikieni ttz hilo watu wapate huduma.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Mkuu tafadhali nipatie utaratibu wa jinsi ya kuwa super agent wa m-pesa.
 
Mimi nimeboreka sana na Voda.
Juzi kati nilifiwa nikiwa nimesafiri.

Nilipopewa taarifa ya msiba nikawatumia nyumbani kiasi cha 550,000 kupitia voda kwenda tigo.
Cha kushangaza, pesa haikumfikia mlengwa japo ilikuwa imekatwa kwenye akaunti yangu

Nilipowauliza voda walinijibu kuwa kulikuwa na tatizo kwenye system yao,hivyo nisubiri siku tatu watarudisha pesa yangu.

Fikiria nina msiba na akiba niliyokuwa nayo yote imeepotelea hewani kwa matatizo ya vodacom.

Kwa kweli nilikwazika sana imgawa pesa ilikuja kurudishwa baada ya siku mbili.

Hata hivyo ni baada ya malumbano makali kati yangu ns uongozi wa voda.
Nashauri voda mjirekebishe kwenye hili,hasa inapotokea kwamba kosa sio la mteja wenu bali ni lenu.
 
Voda mnaudhi sana kwa vifurushi vyenu binafsi nimekuwa na disused card ya voda yaan hii haiwekwi vocha ila ipo hewan, nilikuwa nawekaga vocha ya 10000 napata dk 200 mitandao yote.

nikitaka voda to voda napata dk 300 ila nilipojiunga airtel nimewachoka mazima Kwa ten elfu napata dk 315 na huu mwezi wa pasaka nimepata dk 450 mitandao yote. nilichokipenda huku ni usikivu mzuri wakati wa kuongea na sim tofauti na voda usikivu hauko vizuri, pili punguzeni gharama, kinginene mtandao wenu hauna nguvu kwenye kupiga cm unaweza ukawa hewan ukipigiwa haupatikani.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

  • Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
  • Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
  • Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
  • Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
  • Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Mimi nilinunua hisa ya Vodacom lakini mpaka sasa sijapata mrejesho wowote kuhusiana na hisa yangu.

Ninawazo la kurudisha cheti chenu mnipe changu.

Huu ni mwaka tangu mmetuingiza chaka pesa yangu mnaizalisha faida kwenu mimi sipati chochote naomba mnipe maelekezo wapi nije kudai amana yangu niliyowekeza.
 
SMS hili bando kuna muda zinakatka siku kazaa liko inactive na some times msg zinaanza kutoka baada ya kipindi chake kuisha.
 
Tusaidien vodacom msg kwenye hizi bundles ziwe active kutoka na kuingia mda wote
 
Nashauri unapolipia luku kumbukumbu za LUKU namba ya mita tuipate kwenye simu kama zamani sio kwenda kusoma mita kama ilivyo sasa
 
Vodacom , iko haja ya kuimarisha huduma za internet hasa vijijini, huduma hii ni dhaifu sana kwenye baadhi ya maeneo, smartphone haziko mijini tu.
 
Mbona mimi sipati huduma ya mkopo toka mpawa?? Ilihali ninaakiba tu ya kutosha niliyojiwekea kwenye mpawa??
 
Back
Top Bottom