Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Laini ukiipoteza au ukaiweka kapuni ikizidi mwezi hufungwa mwezi tena ukipita hufutwa mwezi unaofatia hupewa MTU mwingine

Ila kama una mpunga wako Mpesa njoo ofisini unapewa bila wasiwasi
 

Masuala ya data kuna kitengo maalum cha data ukipiga omba unahunganishwa nao watakupa msaada mzuri zaidi
 
Ukomo lazima huwepo coz hakuna cha bure hata Voda wanatozwa kama mia mbili kwa kila simu ambayo wewe unaiita simu ya bure
 
Mimi nilipiga simu kulalamikia kutokutumiwa umeme wangu wa elfu 30,nikagombezwa baada ya apo nkafungiwa line yangu kupiga customer care naambiwa et kuna mtu ama report et simu yangu iyo imeibiwa,na mimi ndo mmilki wa iyo namba.msaada tafadhali

Aisee pole sana unaweza nitumie namba uliyotumia kupiga niwatafute wahusika walio kufanyia huo uhuni nisikilize call yako niweza kujudge
 
Tumekuletea hili tatizo tukijua waweza kulitatua.

Umeshindwa , sasa badala ya kujigamba mtandaoni hebu tupe uaratibu wa kulalamika au kufuatilia WIZI kama ulionipata mimi.

Kwamaba watu wa Customer Care wako overworked si suala la mteja , ni poor management system yenu , na halitakiwi kuwa utetezi kwa kutotatua wizi ndani ya mtandao wenu.

At any rate hiyo itaonekana kama ku condone unfaithfulness ya wafanyakazi wachache walio ndani ya kampuni yenu.

Kama mtashindwa hivyo basi tupe utaratibu wa kuwasilisha na kufuatilia TCRA.
WIZI upo ndani ya VODACOM hilo si suala la ubishi.
 

Kaka ebu kuwa specific
 

Mkuu upo mkoa gani
 
Inakuaje voda inawateja wengi kuliko airtel lakini airtel wapo ktk ten large tax payers TRA vodacom wasiwepo?mbinu gani mnatumia kukwepa kodi?
 
Mkoa wa Kigoma wilaya ya Kasulu

Kaka tokea nianze kazi sijapata kuona mkoa wenye matatizo kama kigoma sijui kwa nini management hawalitii mkazo kutatua hilo tatizo moja kwa moja
 
Inakuaje voda inawateja wengi kuliko airtel lakini airtel wapo ktk ten large tax payers TRA vodacom wasiwepo?mbinu gani mnatumia kukwepa kodi?

Inaonekana huna habari Vodacom ndio wanaongoza kulipa kodi sambamba na kuchangia Huduma za jamii kupitia Vodacom foundation
Usisahau ndio wadhamini wakuu wa premiere league
 
Usipime asee,Bahati mbaya wanatajaga majina yao,namkumbka sana uyo sister nataka kujua namwazibu vip kwa hasara aliyonletea wiki mbili sasa sipatikani hewani kisa yeye ccpapiso

Tutembelee na kibarua chake kitategemea huruma yako Voda hawamvumilii hata wengi washafukuzwa
 
papiso,

Nimemtumia mtu 178,000 kupitia Mpesa kwenda namba yake ya TiGo nikafanya mistake ya digit moja zikamfikia mwingine, huyu mwingine alivyokuwa sharp kazi-draw zile pesa haraka haraka, kaniwahi hata kabla sijawajulisha Mpesa. Baada ya kuwajulisha Mpesa kupitia namba ya huduma ya kulipia 15366 wakasema kweli umetuma na kweli zimechukuliwa na watakuwa wanamkata au akiingiza pesa watanirudishia lakini niwe nawakumbusha kila siku.

Hili la kuwakumbusha kila siku ndio linanipa shida. Jee, kuna ufumbuzi mwingine wa kupata pesa zangu? Au ndio maasalama.
 
Last edited by a moderator:
Nimeanza kupokea SMS kutoka kwa watu mbalimbali nitaanza kushughulikia matatizo yenu Vodacom kazi ni kwako karibuni sana
 
Mkuu papiso nimekupm tokea asubuh iyo number iliyofungwa baada ya kununua umeme wa elfu 31500 na sijaupata mpaka leo na mpaka leo number imefungiwa,nlipiga customer care nikaambiwa et imekuwa reported imeibiwa kitu ambacho sijawahi fanya mkuu.kuibiwa simu big NOOOO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…