Siwezi kuhangaika kujibizana nawe.unaonyesha tu jinsi uko mjinga au mlevi mlevi fulani.kweni umeona sina hiyo mitandao mingine?huu ni uzi wa halotel au tigo?pumbavu kabisaUna hoja dhaifu sana!. Kwan si kuna vifurushi visivyoisha muda?. Ni upuuzi ununue kifurushi cha 24 hours halafu utake kidumu miez 3 kwanini usinunue kisichoisha?
Namba 1 sijui huko lkn huku Mbeya mjin at least wanavutia Voda compared to others hivyo tafuta mtandao wenye uafadhar utumie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja zako ni dhaifu!.Siwezi kuhangaika kujibizana nawe.unaonyesha tu jinsi uko mjinga au mlevi mlevi fulani.kweni umeona sina hiyo mitandao mingine?huu ni uzi wa halotel au tigo?pumbavu kabisa
Maswali ya kichochezi huwa hatujibu kwanza wewe tunamashaka na uraia wako[emoji1] [emoji1] [emoji1](1) kwa nini mmeacha kutoa gawio la m-pesa?
(2)zaidi ya mara mbili nilijiunga kifurushi cha mb,ya kwako tu,lakini hapohapo nikaambiwa kifurushi kimeisha bila hata kukitumia,kwa nini mnakua wezi kiasi hiki!?
(3)nilikua tabora wiki iliyopita,network ikawa shida(internet),iliporudi kifurushi kikawa kimeisha muda wake,kwa nini hamrudishi mb kiungwana kama wenzenu tigo!?
Mkuu ukiwa unaambiwa kifurushi ni cha masaa 24 unatakiwa ukitumie chote kiishe ndani ya masaa 24, hapo unalalamika kitu ambacho vigezo na masharti yamezingatiwa, kuna vifurushi vya wiki mwezi jaribu hivyo au vp.1. Mtu unakuta niko na simu nzuri kabisa ya kisasa(samsung/apple n.k) na settings zangu ziko sawa kabisa lakini kumekua na tatizo la internet kiasi mpaka inatia hasira.muda unaonunua kifurushi ndo unakuta muda unanyimwa huduma nzuri,mtandao unakua chini sana na upo town wala si porini kusema kwamba labda hakuna network la hasha.
2. Wateja tunanunua kifurushi na muda unapofika ule ulionunulia kifurushi kama ni 24hrs kifurushi kinaishia hapo hata kama MB bado uko nazo,huu nauita ni wizi mkubwa.kwa nini msiache mpaka MBs ziishe ndipo mtu anunue zingine?na kwa nini msiache mtu anapoingiza muda wa maongezi iwapo kifurushi cha internet kimekwisha ukiweka vocha inaliwa ghafla eti mpaka uzime data.kwa nini msiache muda wa mtu wa maongezi uwepo hewani mpaka tu pale yeye mwenyewe atakapoaamua kununua kifurushi cha internet?kuna aina ya ujanja ujanja m'baya sana mnaufanya.
3. Ninaamini 80% ya wanatumia mtandao wa Vodacom kama isingekua huduma ya m pesa yamkini mngekimbiwa na wateja wengi sana nikiwepo na mimi.
Jaribuni kubadilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Huelewi vyema nilichosema.kaa pembeni na ulevi wako,unatetea ujanja ujanja wa Vodacom unalipwa?kaa pembeniMkuu ukiwa unaambiwa kifurushi ni cha masaa 24 unatakiwa ukitumie chote kiishe ndani ya masaa 24, hapo unalalamika kitu ambacho vigezo na masharti yamezingatiwa, kuna vifurushi vya wiki mwezi jaribu hivyo au vp.
Afu kuliwa vocha ni simu yako ya smatifoni, mi kila nikiweka vocha nazima kwanza data maana simu itaichukua km kifurushi na kuanza kurefresh apps online.
Nimejibu km mteja tu wa vodacom sio muhusika wa vodacom.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo na masharti hufuatwa, acha kuita Jua Mwezi kwasababu vyote unaona vya duara, shit headHuelewi vyema nilichosema.kaa pembeni na ulevi wako,unatetea ujanja ujanja wa Vodacom unalipwa?kaa pembeni
Pumbavu sana wewe..huna akiliVigezo na masharti hufuatwa, acha kuita Jua Mwezi kwasababu vyote unaona vya duara, shit head
Sent using Jamii Forums mobile app
Smartphone yako unaitumia kufanyia nini zaidi ya kuchati mkuu, maana huna point unapoteza tu muda...Pumbavu sana wewe..huna akili