Voda ni wezi na wanatoa huduma hovyo sana. Kifurushi cha chuo mwanzo kilikuwa 1500, unapata gb1+, kuna kipindi ghafla wakawa wananikata 2000 na kunipa gb1.2 na dk 150 v-v na dk 15, ghafla wakaanza nikata 3000 na kunipa gb1.2, dk 150 v-v na dk 10 mitandao yote. Mara wakarudi kwenye makato ya elf 2 na kunipa mb GB 1 na dk zao kama kawaida, sasa hivi kwa elf 2 wananipa mb 540, dk 150 v-v na dk 10 mitandao yote. Kwa kifupi wakati mwingine kutokana na ndugu, jamaa na rafiki zangu kuizoea hii namba kubafanya niendelee na huu mtandao,vinginevyo ningekuwa nishaangalia ustaarabu mwingine.