Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Nawashauri katika App yenu Wekeni option ya kupata Mpesa statement na mteja aweze kupata statement yake kwa muda anataka hata kama niya mwaka mzima as long as anatumia hiyo app hii ya kwenda kwenye maofisi yenu I napoteza muda na bado ukifika milolongo inakuwa mingi mara ukitaka printed ulipie 3K..

Haina haja. Ma Bank nchini yamedevelop app zao na zina option ya kupata bank statement yako kwa muda unaotaka. Hebu badilikeni
 
WHAT IMMEDIATE PLANS DO YOU HAVE TO MAKE YOUR SHARES ATTRACTIVE FOR TRADING AT THE DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE? CURRENTLY NOBODY WANTS TO BUY YOUR SHARAES!!
 
Kuna SMS niliyotumiwa Na MTU mwaka Na nusu sasa inaendelea kuingia tu kwenye no.(0742536457) inakuwa usumbufu sasa.
 
Hivi kwa nini Vodacom mnavizia tukiwa hatuna salio MPESA ndio mnatuma gawio la kila mwezi? Tunajua kuwa formula ya gawio inategemea na salio alilonalo mteja SASA KWA NINI MNAFANYA UHUNI?
 
Kuna SMS nilitumiwa zaidi ya mwaka Na nusu sasa inaendelea kuingia kila siku Na kila nikiwasha Simu 0742536457 inakuwa usumbufu
 
Name:
Number: Vodacom
Content:
Habari, kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi 02/04/2021.Endelea kufurahia huduma bora kutoka Mtandao Supa.Vigezo kuzingatiwa
Time: 31/03/2021 12:03:53
 
Vodacom hii namba ya kitapeli na huyu mtu ni yule yule tuna mreport hamchukui hatua. Anabadili namba tu lakini mnaweza kumtambua. Hapa kuna uzembe ambao kama mnashindwa kudeal nao tujue ..

0744301829
 
Vodacom hii namba ya kitapeli na huyu mtu ni yule yule tuna mreport hamchukui hatua. Anabadili namba tu lakini mnaweza kumtambua. Hapa kuna uzembe ambao kama mnashindwa kudeal nao tujue ..

0744301829
Nina wasiwasi kama Voda wanapitia huku... cc Moderator
 
Kwanini hii voda airtime billing inagoma kufanya kazi? Inaandika account verification sms cannot be sent, try again later.

Nataka kununua kitu kutoka kwenye app, hii systema yenu inafanyaje kazi?
 
Vodacom mnazingua sana. Hivi mnauza mb 50 za nini? Huu ni uhuni, au mfano mnatoa offer ya mb50. Au maana hapo ukiwasha tu data bundle linaisha.

Punguzeni bei za bundle iwe 1mb kwa 1tsh tu enjoy maisha, acheni kutesa wateja
 
Vodacom acheni wizi wa waziwazi kwenye kifurushi cha data sh.3000...Unapata 1.2Gb for a week lakini within two days hata kama matumizi ya data madogo mnapuruta tu...huo ni ujambazi😠😠😠😠
 
NAUSHAURI KWA VODACOM
kuondoa gharama za kutuma hela (send charges) ambayo sio siri inaumiza sana wakati hapo hapo kwenye kutoa pia tunachagiwa. kwa nini msitoe hiyo gharama na mziweke kwingine.
sio siri hii kitu inaumiza sanaaa.
 
Mitandao wenu wa Ovyo, na mnayoyqfanya mnayajua! Ndo Mana Hamna hata huduma kwa mteja kuongea moja kwa moja kwenye menyu ya 100
 
Vodacom mmekaidi agizo la serikali la kurudisha vifurushi vya zamani nilikuwa loyal customer wenu lakini Leo nawahama rasmi nahamia halotel.haiwezekani 3000 mnanipa gb 1.2 wakati halotel 3000 napata gb 3
 
Rasmi , kesho naenda kutafuta na kusajili laini ya TTcl na kuichomeka kwenye hii pixel yangu sababu(internet bundle).

Pia nafikiria kununua na kitochi niweke hii laini yangu ya voda itakua tu inatumika KwA miamala[emoji51]na TTCL ikizoeleka ndo BAsi ntaitupa tu hii voda maana siwez miliki Wala tembea na simu zaidi ya moja, lazima ntapoteza moja.
 
Rasmi , kesho naenda kutafuta na kusajili laini ya TTcl na kuichomeka kwenye hii pixel yangu sababu(internet bundle). Pia nafikiria kununua na kitochi niweke hii laini yangu ya voda itakua tu inatumika KwA miamala[emoji51]na TTCL ikizoeleka ndo BAsi ntaitupa tu hii voda maana siwez miliki Wala tembea na simu zaidi ya moja, lazima ntapoteza moja.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni kama agizo la mama hawajalisikia!!! Jamaa ni viburi kweri kweri
 
Back
Top Bottom