Nina wasiwasi kama Voda wanapitia huku... cc ModeratorVodacom hii namba ya kitapeli na huyu mtu ni yule yule tuna mreport hamchukui hatua. Anabadili namba tu lakini mnaweza kumtambua. Hapa kuna uzembe ambao kama mnashindwa kudeal nao tujue ..
0744301829
[emoji2][emoji2][emoji2] hatari sana!.. hii inaitwa mwaga mboga nimwage ugalivoda com NI majambazi ya mwendo Kasi.
Mlinipiga 2,500 yangu.
Na Mimi nikawapiga kwenye nipige tafu.
Na laini nikavunja
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni kama agizo la mama hawajalisikia!!! Jamaa ni viburi kweri kweriRasmi , kesho naenda kutafuta na kusajili laini ya TTcl na kuichomeka kwenye hii pixel yangu sababu(internet bundle). Pia nafikiria kununua na kitochi niweke hii laini yangu ya voda itakua tu inatumika KwA miamala[emoji51]na TTCL ikizoeleka ndo BAsi ntaitupa tu hii voda maana siwez miliki Wala tembea na simu zaidi ya moja, lazima ntapoteza moja.