Bwanamaya
Member
- Mar 14, 2017
- 79
- 116
Nilipiga huduma kwa wateja nikaulizwa ulishawahi kuripot account yako ifungwe nikwaambia hapana,Me pia ni mdau wa voda na mfanyabiashara ila kwenye hili wanafanya ujinga
Kama mtu amepiga sm kudai lain ifungwe ametuma kimakosa why wasinipigie na mm na kutuunganisha ukweli uwe wazi ndo wafunge line
Mijitu inaagiza mizigo mkoa inalipa na kupiga sm hela irudishwe voda wanakimbilia kufunga line
***** zenu
Wakaniambia niende vodashop nikatumia nauli
Nafika pale naambiwa kuna mtu ali riport ifungwe na isifunguliwe bila kupigiwa yeye na kaweka namba yake hapo, haya mpigieni hapatikani, basi nipeni namba hawataki kutoa namba!! Who are these if not Kima kama Kima??