Alkam Alkam
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 603
- 512
Kwa nn mnasumbua kutuma ma sms ya matangazo kwenye lain zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hawajali muda hata usiku wa manane wanatuma tu simu ipo huko hunampango nayo inatumwa msg eti umefikia kikomo sijui mara nini sasa jichanganye uweke vocha sasa unatumiwa ujumbe hadi 4 za uthibitisho na mchnganuo tuKwa nn mnasumbua kutuma ma sms ya matangazo kwenye lain zetu
Tangu jumamosi Jioni 21 January 2023 kasi ya internet ilishuka ghafla kwenye eneo la Chigongwe ktk halmashauri ya Jiji la Dodoma. Maeneo mengine yaliyo athirika ni Kigwe na Msembeta.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
TCRA sio kazi yao malalamiko kuhusu wizi wa pesa mitandaoni hayo makosa hushughulikiwa police na police ndio walishughulikie na sio TCRATCRA wana mtindo wa kukalia malalmiko ikipita wiki mbili hawakujibu wakilisha malalamiko kwenye tume yaa ushindani ofisi zao ziko Ubungo.
Hiyo sio kazi yaoOfisi za zipo Ubungo plaza wanafanya kazi kama ya kimahakama kuna kipindi niliwasilisha malalamiko tcra walichukua hadi miezi mitano hawajashugurikia.
Na hii habari ya Songesha riba kuongezeka kila siku ni formula ipi ya mikopo hata mabenki ndivyo wanafanya hivi au ni wizi mtupu?!Acheni wiz kuibia wanyonge na Kisha kujiita tajiri Ni upumbavu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi nikitaka kuingia Facebook naambiwa wao Facebook wana haki ya kuchukua namba yangu ya simu kutoka kwenu vodacom kwa sababu mimi na nyie vodacom tuna makubaliano kwamba nyie mtaigawa namba yangu kwa Facebook. Sijawahi popote kufanya makubaliano na nyie kwamba mtagawa namba yangu. Hii imekaaje?