Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)


Pamoja sana bro! Unaweza kutuonesha screenshot ya modem dashboard bila kutumia karai?
 
kwangu voda ilikua na speed mno ila kwa siku tatu imekua dorooooooo
 
Mimi kila nkitaka kupost wizi wa voda hapa mods wanafuta. Voda ni wezi sana
 
Bei zao wanazokata ktk vifurushi si sawa na bei wanayo kua wameandika, ukiacha salio kwenye cm hata kma umejiunga hulikuti, mtandao wao unakata hovyo na wala hawajisumbui kuomba radhi/ kufidia, customer care wao wamefundishwa kusema "tunaliwakisha kwa ngazi husika utapata majibu ndani ya masaa 24".....
Na mods wa jf watafuta huu uzi muda si mwingi
 
Sio bandle la mwezi tu. Hata hili la siku ukiactivate bandle la siku hata kabla ya masaa ishiri na nne, tayari ushapokea txt kwamba muda wa badle lako umeisha, bulshit.
 
Na mimi voda wananikera sana nataka kuhamia airtel
 
Ndg tusiwe wepesi wa kulaumu tufanye na tafiti kwanza kwa kujilidhisha kama makosa siyo yako. Sasa ngoja nikwambie kama ulirusha salio na tablet ikawa ipo conected na applocation zako kama umeset auto syc . Hapo salio linayeyuka kama unga. Nakwambia hivyo kwani mimi ninayo na ninatimia line ya voda ila mimi hiwa najiunga 6000 kwa wiki au kwa mwezi 20000 zote unlimited.
 

Mimi nimejiridhisha kwa kila kitu mpaka nafikia hatua ya kuwaita voda wezi na wababaishaji. Fikiria mpaka nimewahi kufikisha malalamiko yangu Fair Competition Commission (FCC) najua ninacho kilalamikia, wala sijakurupuka kabisa. FCC nao kama mods wa JF tu mda mwingine
 
Ukitaka kujua Voda ni wahuni. hebu weka vocha halafu nunua kifurushi. watakuambia NO NETWORK AU WANAKATA HELA NA KIFURUSHI HUPATI. kama kuna anaetaka laini yangu ya voda yenye namba zinazofanana ani PM nimpe. Sina hamu na voda teeena. VODA R.I.P
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…