Hapo ndipo penye tatizo. Hicho unachoambiwa ni unlimited, ni kifurushi cha ukubwa fulani, say 1Gb. Zikiisha kasi ya mtandao inakuwa ya chini sana sawa na hakuna. Kwanini watudanganye kwamba ni unlimited? Ndio wizi wenyewe.Ndg tusiwe wepesi wa kulaumu tufanye na tafiti kwanza kwa kujilidhisha kama makosa siyo yako. Sasa ngoja nikwambie kama ulirusha salio na tablet ikawa ipo conected na applocation zako kama umeset auto syc . Hapo salio linayeyuka kama unga. Nakwambia hivyo kwani mimi ninayo na ninatimia line ya voda ila mimi hiwa najiunga 6000 kwa wiki au kwa mwezi 20000 zote unlimited.
Umenena vema kabisa.
Ahsante pia kwa kuliona hili na kunisupport kiongozi Snap!!
Naamini wamekuckia, cz wapo humu humu
Vodacom CS Support njoo huku!★★★★★ Habari!!
Vodacom Mnaonaje Katika MENU Yenu Ya
*149*01# Muongeze CHAGUO La "Kurudi
Nyuma" Ili Kumrahisishia Mteja Kutoanza Tena
Upya Kabisa, Baada Ya Kufika Hatua Ya Karibu
Na Mwisho Kuchagua Hitaji Alitakalo Na
Kugundua Kakosea Muamala?
Naamini Ombi Hili Litashughulikiwa.
Ahsante kwa ushauri bampami, tayari wataalamu wetu wanashughulikia suala hili. Ahsante sana★★★★★ Habari!!
Vodacom Mnaonaje Katika MENU Yenu Ya
*149*01# Muongeze CHAGUO La "Kurudi
Nyuma" Ili Kumrahisishia Mteja Kutoanza Tena
Upya Kabisa, Baada Ya Kufika Hatua Ya Karibu
Na Mwisho Kuchagua Hitaji Alitakalo Na
Kugundua Kakosea Muamala?
Naamini Ombi Hili Litashughulikiwa.
Kweli wewe Vodacom CS Support ni sharp sana. Keep it up!Ahsante kwa ushauri bampami, tayari wataalamu wetu wanashughulikia suala hili. Ahsante sana
Sio kwamba nawatetea voda ila kwangu net ipo kawaida pia Inategemea na eneo ulilopo sio kila mtu ana experience poor speed
Sent from my iPhone using JamiiForums