Sijui tutaponea wapi?Hakuna mtandao hata mmoja usio na ujanjaujanja huu.Mi natumia yote ulaghai wa aina km hiyo uko palepale.
Well, mara nyingi najunga na kifurushi cha MB 200, kwa sh 500, kila nikijaribu kuongeza kifurushi naambiwa hivyo.
Habari Skype mafundi wetu wanajitahidi kutatua tatizo mara tu linapotokea, na katika hili tumefanikisha kulirekesha kwa sasa.Vodacom Tanzania, mimi nilikua mteja wenu mzuri sana hadi October 2013, lakini mlipoanza mikwaruzo yenu mlinifukuza bila kupenda. Mfano ilifikia na wengi wanalalamika hadi leo kama mdau mmoja hapo juu kwamba unataka kujiunga na kifurushi cha sh 500, mathalani, na una sh 520 lakini unaambiwa huna salio la kutosha kujiunga. Ukiongeza tena salio likafika labda 1000 ndipo unaruhusiwa kujiunga na kifurushi cha sh 500. Sawa umejiunga lakini mbaya zaidi kile kifurushi sekunde chache kabla ya kuisha muda wake mnakamua kwanza salio lililobaki ndipo mnaleta miujumbe eti kifurushi kimeisha.
Tutumie namba ya simu endapo bado unapata tatizo hilo.
Habari Skype mafundi wetu wanajitahidi kutatua tatizo mara tu linapotokea, na katika hili tumefanikisha kulirekesha kwa sasa.
Ndio wawekezaji wetu hao
Habari Easymutant mara nyingi hii hutokea pindi mteja anapokuwa amejiunga na zaidi ya kifurushi kimoja hivyo kifurushi cha awali kinapokwisha mteja anadhani ni kifurushi kipya alichojiunga nacho. Inapotokea hali hii tafadhali piga *147# kuangalia salio. Tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi.
yaani mimi kilichonifanya nihame vodacom ni tatizo la kifurushi
ukijiunga una sh 550 unaambiwa hauna salio la kutosha hadi ukimbie tena dukani ukaongeza jero ili ujiunge na kifurush cha mia 500
Habari Easymutant mara nyingi hii hutokea pindi mteja anapokuwa amejiunga na zaidi ya kifurushi kimoja hivyo kifurushi cha awali kinapokwisha mteja anadhani ni kifurushi kipya alichojiunga nacho. Inapotokea hali hii tafadhali piga *147# kuangalia salio. Tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi.
bora umekuja mkuu, sijui siku izi mmekuaje, jana nimenunua kifurushi kwa ajili ya modem yangu, kwa ajili ya wyf na kwa ajili ya simu yangu ikiwa ni pamoja na dakika na sms, simu ya wyf ilikuwa na data ON, haikukaa nusu saa kikakata, nimechomeka Modem kudownlod Whatsapp app yenye MB 15 tu ila bunndle ikikata apo apo. Nimebaki na bundle ya simu yangu tu, nimeamua kuipa adhabu line yangu, ntakuwa nachomoa line ya simu ili nitumie kifurushi icho tu wiki nzima mpaka kiishe.
COMPLAIN 2
VodaCom siku izi mnakuwa wasanii, nilinunua simu kwenye duka lenu moja/naliifadhi, izo smartphone nilichukua mbili, moja iko poa ila nyingine Vodafone 875 black ni kimeo, ukipiga simu inakata netowrk apo apo, niliporudisha simu ilikuwa kimbembe kunielewa kuwa network ni mgogoro, bahati nzuri simu ikaita niko mbele ya maafisa wenu ikakata na kuandika EMERGENCE CALLS ONLY, apo ndo wakanielewa ila baada ya kutumia energy kuuubwa!!
Simu wakasema niwaachie ili irudishwe then watanipa jibu, wiki ya pili sasa kimya, yani najipanga nikirudi patachimbika,kwa nini mnazingua ivo?? Na sitakubali simu ile ile kama mmeenda kuirekebisha kama kuchomelea network Ic, nimenote specifications pembeni ikirudi ile kwa kweli sitawaelewa, pia mjue mtu akinunua kitu kibofu dawa ni kumpa kipya si kumzungusha, pia mimi sikununua simu makao makuu, iweje mniambie nisubiri ipelekwe makao makuu,nimeweka line pembeni nikisubiri simu wiki kibao............rekebisha aisee, otherwise nitakuwa balozi mbaya wa Vodacom!!!
Mpaka sasa voda hawafai, wana jeuri, kiburi na dharau hasa huduma kwa wateja.
kweli mkuu, siku nilipopiga simu mdada kanibishia then anasema...nona unielewi,asante kwa kupga vodacom, akakata simu...nlishangaa sana