Habari zenu wakuu,Asubuhi hii nimenunua umeme-LUKU kwa njia ya MPESA, nikapokea ujumbe kuwa fedha imepokelewa/imetumwa kwa TANESCO kama ilivyo ada....Nkawa nasubiri ujumbe toka TANESCO wa token ili nifeed kwa mita yangu.CHAKUSHANGAZA SASA,,,Nikapokea ujumbe kutoka MPESA usemao "Tumepokea mchango wako. Asante kwa kuchangia vita dhidi ya fistula kupitia Vodacom.#BongoIce "...Na mpaka sasa sijapokea hizo token.HUU NI WIZI AISEE.
Kiongozi,usiwe na muono hasi.Kwa nini usihisi kwamba kuna tatizo la kiufundi badala ya wizi?Utapopata token yako kiongozi,uwe muungwana kwa kutujuza.Habari zenu wakuu,Asubuhi hii nimenunua umeme-LUKU kwa njia ya MPESA, nikapokea ujumbe kuwa fedha imepokelewa/imetumwa kwa TANESCO kama ilivyo ada....Nkawa nasubiri ujumbe toka TANESCO wa token ili nifeed kwa mita yangu.CHAKUSHANGAZA SASA,,,Nikapokea ujumbe kutoka MPESA usemao "Tumepokea mchango wako. Asante kwa kuchangia vita dhidi ya fistula kupitia Vodacom.#BongoIce "...Na mpaka sasa sijapokea hizo token.HUU NI WIZI AISEE.
kwa kuwa huwa utoi kwa hiyari wamekulazimishia kutoa tafuta hekla nyingine nunua luku ,,..
Hahaha sio kwa style hiyo sasa aisee direct chopping
miss chagga wewe...sio kwa mtindo huu aisee!kwa kuwa huwa utoi kwa hiyari wamekulazimishia kutoa tafuta hekla nyingine nunua luku ,,..
miss chagga wewe...sio kwa mtindo huu aisee!
kwa voda sina hakika maana sijawahi tumia voda kwa windows phonena line ya Voda je
Habari Rugaijamu tafadhali tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi ndugu mteja. PoleHabari zenu wakuu,Asubuhi hii nimenunua umeme-LUKU kwa njia ya MPESA, nikapokea ujumbe kuwa fedha imepokelewa/imetumwa kwa TANESCO kama ilivyo ada....Nkawa nasubiri ujumbe toka TANESCO wa token ili nifeed kwa mita yangu.CHAKUSHANGAZA SASA,,,Nikapokea ujumbe kutoka MPESA usemao "Tumepokea mchango wako. Asante kwa kuchangia vita dhidi ya fistula kupitia Vodacom.#BongoIce "...Na mpaka sasa sijapokea hizo token.HUU NI WIZI AISEE.
kwa kuwa huwa utoi kwa hiyari wamekulazimishia kutoa tafuta hekla nyingine nunua luku ,,..
Habari Rugaijamu tafadhali tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi ndugu mteja. Pole
piga namba hii 15366
ni mpesa huduma kwa wateja watakusaidia
Rugaijamu suala hili
limekwisharekebishwa na tunaimani umepokea token zako. Ahsante
Habari zamda tunapenda kukutoa wasiwasi kuwa hakuna pesa inayopotea kupitia M-PESA. Tafadhali tutumie namba ya simu PM ukitufahamisha kutoka NMB uliufanya lini.Vodacom mna matatizo mmeniibia sh.elfu 11 kwenye acc yangu ya Mpesa halafu mnasema imerudi NMB wakati huko nako haipo,acheni hizo nimekerwa sana.