Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Huduma iliunganishwa kwa muda wa siku 7 bure na mteja anaweza kujiondoa endapo haihitaji huduma hiyo kama ambavyo umeweza kujiondoa. Pole

acheni wizi kwa nini muunganishe automatically? si mngeuliza kwanza kama mteja anataka ndio muunganishe?
 
Kweli Vodacom kuna tatizo la wizi wa salio, mfano mimi mara kwa mara nikiwa sina salio alafu nikijiunga nipige tafu salio linakuja kwenye account ila kitendo chakutaka kujiunga cheka time na ambiwa huna salio na jiuliza limeenda wapi, afu bado nikiweka vocha na katwa pia@Vodacom Tanzania
 
INTERNET
Huku nilipo mkoa MARA,BUNDA,KIBARA,kuna mnara apa tunapoishi ni karibu na wilayan lakin internet inazngua mno cku izi, co km zaman kwa kwel imekua ni zaid ya kero
 
INTERNET
Huku nilipo mkoa MARA,BUNDA,KIBARA,kuna mnara apa tunapoishi ni karibu na wilayan lakin internet inazngua mno cku izi, co km zaman kwa kwel imekua ni zaid ya kero

Hii inafanana ukiwa makao makuu ya wilaya ya Kongwa hamna kabisa 3G
 
Uchaguzi mkuu 2015 uko jirani sana, ni lazima waibe ili kudunduliza hela za uchaguzi kwa CCM.Ni maagizo toka kwa wenye nchi.
 
Niko Mbagala karibu na mto Mzinga ni zaidi ya mwaka sasa Internet ni tatizo kubwa. Huko nyuma halikuwa tatizo kihivyo. Na sisi wateja wa huku twaweza sikilizwa kweli? Nasubiri nione kama mlileta, forum hii kubeep au kushughulika na matatizo yetu kweli. ..
 
nshapata solution saiv, ni kuhama mtandao manake nilikuwa nikiweka vi mb vyangu kama 100 mnavichukua hata kabla sijavitumia, nkiweka vocha ya 1000 usiku hasubuhi nakuta 500, kuangalia video utube hujamaliza hata dakika tano mb 100 zimeisha, niliwapigia simu mpzka nimechoka sound zenu, NAOGOPA KUFILISIWA.
 

Nyie watu wa Voda kwanini mnatengeneza mazingira ya rushwa? Kuipata line yenu ya Mpesa hapa Songea imekuwa tatizo.Miezi minne sasa bado laini et inatengenezwa. Sasa mnafanya biashara kweli?Halafu mawakala mliowapa kazi hiyo wanataka hadi uwape hela ya rushwa ndipo wakutengenezee.Jamani kwanini mnaendekeza rushwa kiasi hiki?Msije kusema kuwa mnapakwa matope tu haya yapo kabisa. Vodashop yenu nayo ni tabu tupu.Tangazeni wazi kuwa ili upate line hiyo ya Mpesa niwe na kiasi gani nielewe.
 

vodacom mna taarifa kuna mawakala wanaendesha biashara kwa kutumia till za watu wengine? zikiwemo za usajili toka agent maxmalipo wameuziwa
 
nimeshidwa kuwauliza. Vodacom Tanzania maswali maana kuna maswali mengi na muhimu hawajajibu na hata la kwangu najua hawawezi kujibu
 
Last edited by a moderator:
vodacom mna taarifa kuna mawakala wanaendesha biashara kwa kutumia till za watu wengine? zikiwemo za usajili toka agent maxmalipo wameuziwa

Mkuu hapo unagusa maslahi ya watu.... Ndio maana kimyaaaa!!!
 
Jamani net yenu vipi nimenunua kifurushi cha bila kikomo lakini speed iko slow mno! Yani haina hata maana
 
Nimenunua kifushi cha bila kikomo lakini speed iko slow sana! yani sioni hata maana yake
 
JAMAN NDUGU ZANGU WAKUBWA WA VODA IVI INAKUWAJE MTU AONGEE SEKUNDE 10 AFU MNAMKATA DAKIKA MOJA?

maana huo utaratibu cjui ndo mpya au ni vip?
 
Nimenunua kifushi cha bila kikomo lakini speed iko slow sana! yani sioni hata maana yake
ulisoma vizur maelezo ya kifurushi kabla ya kujiunga,,
mara nying hua unapew GB kadhaa kwa full speed then baada ya hzi GB kuisha speed inapungua.
 
Hamia TIGO mkuu,,hutojutia maamuz yako kamwe.
 
Habari Yana Mwisho, tungependa kukufahamisha kuwa salio lako litaendelea kuwepo na tunashughulikia suala hili.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…