Vodacom Tanzania
Official Account
- Aug 12, 2013
- 324
- 126
- Thread starter
-
- #1,501
Ondoa shaka ndugu mteja. AhsanteVodacom, mnashughulikia tatizo langu kwa kuwa ni general problem au? Hii meseji yenu nitaitumia kama ushahidi ikitokea mmelamba salio langu muda huo ukifika
mimi wananikara sana siku hizi kifurushu chao cha speed bila kikomo hakina speed kabisayaani bora cha tigo
nahitaji kuelewaa malipo ya riba ya mpawa mnaya calculate kivipi na yanalipwaaa baaada ya mda ganiiiiiii maaana iko kibubuuu tangu nianzenacho sjaona nlichokipataa nikisoma brochures zenu riba mnalipa kuanzia 2%→ 5% kwa siku mi uwa naweka sometimes mpaka 1m na zaid kwakiutegemea napata kitu sasa naomba kujuaaa future value ya 1m per day ni calculate per month ndiooo niendeleee kutumia mpawa otherwise ni invest mtaani niuze mkaa nitoke tu
Poleni sana, huduma hii haiunganishwi moja kwa moja. Tafadhali mshauri atume SMS yenye neno ONDOA kwenda 15577. AhsanteVodacom Tanzania naomba mnifahamishe kwanini mnaweke watu nyimbo za miito wakati hujachagua?
_nina baba yangu mdogo ni mchungaji ukimpigia simu inataja mawaidha ya shehe kishiki kweli hii si haki,au unaampigia mwislam simu nasikia nyimbo ya nibebe na ukimuuliza anashangaa kutokuweka hizo nyimbo....
Ahsante Denjo, unaweza kupitia hapa https://www.vodacom.co.tz/mpesa/mpawa/faq kufahamu kuhusu suala lako. Usisite kuwasiliana nasi endapo utahitaji msaada zaidi.
Habari mputika, tafadhali fafanua suala hili.
Denjo tafadhali tutumie namba ya simu tutawasiliana nawe kwa ufafanuzi zaidi.sasa mbn mnaniongezea maswaliiii na hamjanijibuu exactly what I have asked jmn naomba unielezee hapa kunidirect kwa link hio sio kunipa majibu of what nimeuliza na ninataka kujua maana huko piaa nmeona chenga tu
Ushauri wangu ni kuhusu menu ya Mpesa kwa mawakala.
Ilivyo sasa hivi jina la mteja anayetumiwa pesa huonekana baada ya muamala kukamilika.
Hii tatizo lake ni kuwa, kama wakala akikosea kuingiza kiusahihi namba ya mteja fedha zitakwenda kwa mtu mwingine na utaratibu wa kubatilisha unakuwa mrefu.
Kwa nini Vodacom msitumie utaratibu kama wa Tigo na Airtel ambao huonyesha jina la anayetumiwa pesa kabla wakala hajakamilisha muamala?
Huu ni ushauri tu; otherwise huduma zenu za Mpesa ni za kuridhisha sana!
Vodacom Tanzania hivi mtu akifariki hela zake kwenye M PESA zinapelekwa wapi na ni shilingi ngapi zimepatikana ambazo hazina mwenyewe na zimefanyiwa nini?
Nyie vodacom, mimi nimejiunga na mpawa lakin nashindwa kuingiza salio kubwa kwa sababu kila nikiulizia chochote kuhusu mpawa naambiwa niende kny maduka yenu na kitambulisho, na nimeshakwenda pale Samora NHC nikapewa form na kuijaza details zangu, nikaambiwa nisubiri baada ya siku 5 ndio nianze kuitumia hiyo huduma ya mpawa, lakini hadi hv sasa sijafanikiwa na ni wiki km 3 au 4 zimepita, sasa nyie mtanisaidia vp ili nianze kuweka akiba? No yangu ni 0757 980 448.
Nyie vodacom, mimi nimejiunga na mpawa lakin nashindwa kuingiza salio kubwa kwa sababu kila nikiulizia chochote kuhusu mpawa naambiwa niende kny maduka yenu na kitambulisho, na nimeshakwenda pale Samora NHC nikapewa form na kuijaza details zangu, nikaambiwa nisubiri baada ya siku 5 ndio nianze kuitumia hiyo huduma ya mpawa, lakini hadi hv sasa sijafanikiwa na ni wiki km 3 au 4 zimepita, sasa nyie mtanisaidia vp ili nianze kuweka akiba? No yangu ni 0757 980 448.