Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Voda jana asubuhi nimehamisha hela toka NMB mpaka sasa hazijafika! Muda huo huo nikahamishia tigo zikafika muda huohuo! Hela benki haipo na m-pesa haipo! Mmepeleka wapi hela yangu? Huko "hewani" zilipo nani anazimonitor?
 
Jamani @Vodacom vipi Kibaigwa mbona leo siku ya tatu hatuna 3g uko wapi
 
kwani huko voda sijui mnapewa huduma bure? maana kila siku malalamiko na kuhama hamtaki
Vodacom wanapaswa kujibu malalamiko haya kwa ufasaha kwani wateja tunachoamini ni kuwa kuna wizi sana huko wa salio kwenye simu.
Unanunua vocha ya 5,000/= unaingiza kwenye simu na unanunua bando la shs 3,500/= maana yake unabaki na Shs 1500 chaajabu ukimaliza tu bando na wakati fulani hata bando halijaisha unashangaa hata salio lako limeisha. Nimekutwa na masaibu ya aina hii mara nyingi na ninajaribu kuwa mwangalifu kweli kudhibiti matumizi yangu ili nisizidishe bando lakini imeshindikana kwani huwa naliwa hata bando kabla halijaisha. Haya ni malalamiko ya watu wengi wanaotumia mtandao huu wa Vodacom. Ukiongea na watu mtaani utasikia ooh hizo ni hela za kampeni ya Lowasa, ebu jisafisheni na kashfa hii kabla ya kukimbiwa na wateja. Nanyi TCRA tusaidieni basi sisi wateja mkielewa kuwa mko kwa ajili yetu na mnalipwa out of our money. Nachokiona ni kuwa kazi ya kuregulate hizi huduma mmeshindwa kiasi kwamba makampuni haya ya simu yanajifanyia yatakavyo na yalivyo na ukwasi tayari yameshawaweka regulators mifukoni mwao tayari.
Tusaidieni na haya masaibu jamani.
 
Voda jana asubuhi nimehamisha hela toka NMB mpaka sasa hazijafika! Muda huo huo nikahamishia tigo zikafika muda huohuo! Hela benki haipo na m-pesa haipo! Mmepeleka wapi hela yangu? Huko "hewani" zilipo nani anazimonitor?

Cc Vodacom Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Mnakera kukata salio la benki na kwenye simu pia mtu anapotumia huduma za kibenki hususani NMB mobile,mbona mitandao mingine hawakati salio la mtu kwenye simu? Bora ile akaunti ilikuwa student acc,nikaachana nayo.
 
Ahsante sana Joseph, endelea kufurahia huduma zetu.

Hivi matumizi ya dakika za bundle ya 15000 nimeweka juzi alhamisi na leo inaniambia bundle yangu imesha huu uwizi wa mchana,na uhakika cjatumia hata dakika 100 toka nijiunge,natumia zaidi ya 40000 kwa mwezi ni bora nihame mtandao kwa uwizi huu wa kijinga period
 
Voda jana asubuhi nimehamisha hela toka NMB mpaka sasa hazijafika! Muda huo huo nikahamishia tigo zikafika muda huohuo! Hela benki haipo na m-pesa haipo! Mmepeleka wapi hela yangu? Huko "hewani" zilipo nani anazimonitor?

kwanini usihamie huko kwenye mitandao mingine?
maana hawa jamaa majanaga full y
 
Boresheni huduma ya mpesa, mara kwa mara mtandao bize, kama haiwezekani, punguzeni wateja.
 
Nimehamisha pesa jana jioni toka NMB kuja m - pesa lakini hazijaingia mpaka sasa, naomba maelekezo nifanyeje?
 
voda kunaeneo lipo moshi.KDC hakuna network mtu ukimpigia haumsikii na nendem mkaulize wakazi wa hapo watawaambis
 
Anko Kidevu;10790125]voda kunaeneo lipo moshi.KDC hakuna network mtu ukimpigia haumsikii na nenden mkaulize wakazi wa hapo watawaambia kero zao inakera sana
 
Hivi ninyi voda mnashindwa kweli kuweka network yenye nguvu ktk halmashauri zetu? Hasa signals za 3G? Mfano halmashauri ya Serengeti Mugumu ni shida tupu hata hicho ki E au 2G chenyewe kinaload kwa shida sana. Mbona mnakata hela zetu nyingi sana bhana, hebu tuboresheeni huduma ya network Mugumu hapa bhana.
 
Hata sehemu zenye 3G bado kuna matatizo. Unaweza load file moja ndani ya Dakika 10 na hiyo 3G ikiwepo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…