Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaona hata aliyejibiwa duh!
Hii inawezekana,
Ukienda kwenye Mpesa ukaomba kutumiwa mini-statement ili uangalie movement ya akaunti yako hawakupi, bali wanatoa salio (final balance) tu, kwanini watufiche?
Halafu huyu anaejibu hapa aache kutoa General Answers kwenye specific na technical problems, majibu anayoyatoa hata Mimi mtu baki ningeweza kuyatoa tu hata kama Siijui Vodacom!
Habari papason hatujaondoa Personal Hotspot kwenye simu ndugu mteja, hili hutokea pindi mteja anapopandisha mfumo wa uendeshaji simu (Operating system).Vodacom Tanzania!
Nataka kujua ni kwa nini mmeiondoa/ 'disable' huduma ya 'Personal Hotspot' kwa sis wateja wenu wenye sim za I phone, tena bila hata kututaarifu, adi mwezi wa September huduma hii ilikuepo nini kimetokea?
Au tufanyeje nini ili huduma hii iweze kurudi tena kwenye sim zetu?
Habari, tafadhali tunaomba namba ya simu PM kwa msaada zaidi. PoleVodacom mlaaniwe.
Mmefyeka dk zangu 230 nilizonunua wiki iliyopita. Leo naambiwa bado dakika saba. Shame on you. Kwa matumizi yangu so far, zingebakia dakika si chini ya 150.
Vodacom mmekua wa ajabu sana. Cheka bombastic kuna option ya kupiga mitandao yote, ajabu ukimpigia mtu wa mtandano mwingine unaambiwa hapatikani, ukipiga kwa line nyingine unampata. Matokeo yake muda wa kifurushi kuisha unafika. Huu ni wizi wa mchana, BADILIKENI