Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo tigo me nimevunja line leo coz sio voda hata airtel ila zantel ipo powa kabisa cha kushangaza hawa wachina wa smart nao wanazingua na line zao
Siku ya nne hii leo internet vodacom hovyo kabisa,yaani mtandao unazingua kila sekunde page mara ifunguke mara igome mradi majanga tu kwa simu na modem pia. Najua mnapita humu hebu fanyeni hima basi watu tufanye kazi..au hadi tuhame kimya kimya?
Inategemea na eneo ulilopo,me natumia vda na wala haisumbui.
mim nipo kibamba, Dsm voda inazingua vilevile ngija tuiki:llama::llama:UPO sehemu gani?? Huku kwetu ni 3G na HSPDA.
Siku ya nne hii leo internet vodacom hovyo kabisa,yaani mtandao unazingua kila sekunde page mara ifunguke mara igome mradi majanga tu kwa simu na modem pia. Najua mnapita humu hebu fanyeni hima basi watu tufanye kazi..au hadi tuhame kimya kimya?