boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,033
Habari mkuu, tafadhali tunaomba uvumilivu wako na tutawasiliana nawe kuhusu hili. Pole
Ahsantee. Aya navumilia sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari mkuu, tafadhali tunaomba uvumilivu wako na tutawasiliana nawe kuhusu hili. Pole
Nikama miezi miwili sasa mawasiliano nishida huku wilaya ya korogwe vijijini kama vile kwasunga,kiloza mgobe hadi Korogwe,ukiongea namtu mnaweza msielewane kunakuwa na mikwaluzo,lakini ukipigiwa na mtu wa mtandao mwingine mnaongea vizuri bila matatizo
Voda mnakula MB za internet fasta mno kuliko mitandao mingine , punguzeni bas
Habari, tungependa kupata namba ya mtumaji na namba ya mpokeaji. Pia bila kusahau muda ujumbe uliotumwa kwa msaada zaidi. Polesms haznifikii kwa wakati @Vodacom Tanzania
Ahsante kwa ushauri ndugu mteja. ShukraniHivi kwa nini mna sponsor blog zenye matusi za watanzania?
Kwa kweli kwa jina la vodacom/vodafone duniani mnatia aibu sana ku sponsor blog ya mwanamke anayetukana watanzania wenzake na kusisisitiza uadui na mabaya hata kuhatarisha maisha ya watu kwa kutoa dtails zao private.
inabidi mauahane na haya ma blog esp ya huyo mdada, najua mnaijua ila mmefumbia macho. soon itabidi na magazeti yaongelee hii issue na wateja wenu waone hata wale wateja wanaotaka jiunga nanyi wawakimbie maana ni hatari sana kwa mnalofanya.
eti mnasponsor matusi, ugomvi, bullying, detah threats, mengi tu
Habari Yohana, tunawasiliana nawe kwa msaada zaidi. Pole sanaVoda nyinyi ni wezi sana na laiti kama hao wahudumu wenu nilioongea nao tar 22 na 23 wangekuwa karibu ningewazaba vibao wanavunga wanajua kumbe hawajui yaani nyie ni wezi nyie ni maescrow kabisa mnatuibia hela zetu makusudi tukiwapigia na vielelezo kamili mnabisha tu acheni hizo hata Sisi tuna uchungu wa pesa zetu Sisi siyo mitaji yenu wala mashamba yenu mmenibore sana kwa majibu yenu na soon nitawahama hata of a zenu wizi tu
Mtu nmenunua Salio mpesa kwa confirmation BK81GN266 halafu mnanijibu eti hiyo hela imeletwa tar 14 cha kushangaza napiga tena naambiwa hiyo hela haitambuliki kabisa tena kwa kukwepa maswali kanakimbilia kuniambia eti Vodacom inakutakia siku njema then kanakata Simu acheni ufisadi mmenibore mtandao siyo wenu tu hata ttcl zantel Tigo na airtel tutahamia na kama ni hivi basi punde mtaanza hata kutuibia kwenye account zetu za mpesa.
Mmeniudhi sana sina hamu na nyie na siweki Salio tena mpaka nitakapovunja line yenu.....0763994423 ndo namba yangu.
Habari Yohana, tunawasiliana nawe kwa msaada zaidi. Pole sana