Voda ni waizi wa waziwazi, nimenunua umeme through mpesa sijapata majibu mpaka leo na imepita wiki sasa, jana nimenunua umeme mara mbili no msg no token, ukiongea na hao customer care hawajui chochote.
Unamuelezea mtu shida yako eti ananiambia niende tanesco nikaulizie wakati mimi nimenunua umeme kupitia simu yenye mtandao wa voda.
Tanesco wana kitengo cha simu kuhusu token zilizogoma kuja to my phone?
Nyie voda mna akili sawasawa kweli au hao watu wa customer care ni vilaza to the xtreme?
Jana nikanunua umeme tena msg ikafail lkn balance ya mpesa ikakata sasa hapa niende wapi coz customer care waliniambia nisubiri 24hrs hela itarudi au nitapata msg ya token, mpaka sasa inaenda 30hrs no any msg.
Customer care kila mtu ana jibu lake sasa najiuliza huko customer care ni makampuni tofauti ya simu au ni vodacom?
Nimechoka na nimesurrender.
Poor Vodacom popote ilipo.
Mtumiaji kaa mbali sana na vodacom hawa ni waizi wa kimachomacho.
Mitandao mingine system ikigoma unarudishiwa balance yako hapohapo.
CC:
Vodacom Tanzania