Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Vodacom kwani hela za kuuza hisa haziwatoshi hadi mhamie kwenye salio tunaloweka kwenye simu? Leo nimepokea ujumbe kuwa hela niliyonayo kwenye salio litumike hadi mwisho wa mwezi huu?
Hivi hadi salio la kwenye simu mnaliwekea limit ya muda? Kwa uhuni huu, kwenye hisa mtakuwa waaminifu?
Hivi hadi salio la kwenye simu mnaliwekea limit ya muda? Kwa uhuni huu, kwenye hisa mtakuwa waaminifu?