Jana tarehe 27 Juni 2014 nilideposit Shs 900,000/= to our CRDB account via MPESA na kupata confirmation from MPESA. Hadi asubihi ya tar 28 Juni 2014 bado nilikwa sijapokea confirmation ya pili toka CRDB Bank kuthibitisha fedha zimekuwa credited in my account. Confirmation hii ya pili pia hupitia though pur mobile phones.
Asubuhi ya taer 28 Juni 2014 nilipiga simu Vodacom Call centre kupitia Nao 15366 na kuzungumza na mtu aliyejitambulish kama ni Amani, nilimweleza shida yangu na yye akanitaka niendi CRDB kuuliza suala hilo. Niukamjibu kuwa mantiki nzima ya kutumia huduma za MPESA kudeposit m pesa ambapo tunakuwa chrged commision ni kupouguza safari za kwenda matawi ya CRDB.
Mwishowe alinijibu suala langu litashughulikiwa ndani ya masaa 24. Kuanzia wakati huo simu yangu No 0756604720 ikwa haipo hewani kila nikijaribu kupiga naambiwa simu yako imeondolewa.
Asubuhi ya taer 28 Juni 2014 nilipiga simu Vodacom Call centre kupitia Nao 15366 na kuzungumza na mtu aliyejitambulish kama ni Amani, nilimweleza shida yangu na yye akanitaka niendi CRDB kuuliza suala hilo. Niukamjibu kuwa mantiki nzima ya kutumia huduma za MPESA kudeposit m pesa ambapo tunakuwa chrged commision ni kupouguza safari za kwenda matawi ya CRDB.
Mwishowe alinijibu suala langu litashughulikiwa ndani ya masaa 24. Kuanzia wakati huo simu yangu No 0756604720 ikwa haipo hewani kila nikijaribu kupiga naambiwa simu yako imeondolewa.