ipo hivi, kuna simu zina sim card(line) malaya kwa ndani, line haitoki as iko embedded kwa motherboard ya simu
sim card ambayo inakubali mtandao wowote ule ikiwa programmed na configurations za mtandao huo
wanachokupa hao Voda au Airtel ni configurations ambazo utaingiza kwenye simu,
configurations zitatengeneza profile za mtandao, so utawezakuwa na profiles za mitandao kadhaa
ukitaka tumia Voda, unachagua profile ya Voda, kisha simu ita search mtandao wa Voda toka kwenye mnara wa karibu
ukitaka tumia Airtel unachagua profile ya Airtel, nk