huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,520
- 1,462
Habarini za asubuhi wanajamvi.....
Si kawaida Voda kutokuwalipa mawakala wao wanaotoa huduma kwa wateja wao mpaka sasa muda huu napoandika Uzi huu,
Huwa ukiamka asubuhi siku ya tarehe 1 unakuta message ya kamisheni kwenye simu yako lakin Leo mpaka sasa hakuna kitu kulikoni?
Je humu jamvini kuna wakala wa MPESA
na mpaka sasa haoni chochote kwenye simu yake?
Si kawaida Voda kutokuwalipa mawakala wao mpaka sasa
Kama kuna tatizo kwanini hawakutoa taarifa mapema kwamba hawatopewa kamisheni Leo?
Mwenye kujua tatizo atusaidie...
Si kawaida Voda kutokuwalipa mawakala wao wanaotoa huduma kwa wateja wao mpaka sasa muda huu napoandika Uzi huu,
Huwa ukiamka asubuhi siku ya tarehe 1 unakuta message ya kamisheni kwenye simu yako lakin Leo mpaka sasa hakuna kitu kulikoni?
Je humu jamvini kuna wakala wa MPESA
na mpaka sasa haoni chochote kwenye simu yake?
Si kawaida Voda kutokuwalipa mawakala wao mpaka sasa
Kama kuna tatizo kwanini hawakutoa taarifa mapema kwamba hawatopewa kamisheni Leo?
Mwenye kujua tatizo atusaidie...