Acheni Tabia ya kunywa vifurushi vyetu, kama mnakunywa wine 🍷 🥸🥸🥸🥸.Ndugu Mteja,
Tunapitia kipindi cha maboresho muhimu kwenye mifumo yetu ya TEHAMA kwa lengo la kuboresha zaidi huduma. Katika siku chache zilizopita, huenda umekumbana na changamoto katika matumizi ya huduma zetu.
Maboresho haya makubwa ya miundombinu yetu ya TEHAMA yanalenga kukuletea huduma bora na ya uhakika zaidi. Wataalamu wetu wanajitahidi kuhakikisha kuwa huduma zako zinaendelea bila kuathirika kwa kiasi kikubwa tunapotekeleza maboresho haya muhimu. Tunatarajia kukamilisha maboresho haya ifikapo katikati ya Novemba, na baada ya hapo, mtandao wetu utakuwa imara zaidi kwa manufaa yako na wateja wote.
Tunakushukuru kwa uvumilivu na uelewa wako wakati huu. Maboresho haya ni kwa ajili ya kukupelekea huduma bora zaidi sasa na kwa siku zijazo.
Asante kwa kuendelea kuwa nasi.
Uongozi wa Vodacom Tanzania
29 Oktoba 2024
FOR ENGLISH AUDIENCE
Dear Customer,
We are currently working on important upgrades to our IT systems to enhance your Vodacom experience. Over the last few days, you may have experienced some disruptions in our services.
These interruptions are due to ongoing major upgrades to our IT infrastructure, which are designed to enhance the quality and reliability of your Vodacom experience. Our teams are working diligently to minimize any impact on your service as we make these significant improvements. This exercise is planned to conclude by mid November, after which we expect a stronger, more resillient network to benefit all our customers.
We sincerely appreciate your patience and understanding during this period and want to reassure you that these upgrades are essential to serve you better, both now and in the future.
Thank you for your continued trust in Vodacom.
Vodacom Tanzania PLC
29th October, 2024
View attachment 3138323 View attachment 3138324
Airtel hawana mambo kama haya Mkuu. Na ndo inaaminika sana kwa watumiaji wa routers.ACheni uhuni, kwa sasa mmekuwa kama Airtel
Tudai starlink ije ili kuongeza ushindani vifurushi vitashuka bei haraka sanaAcheni Tabia ya kunywa vifurushi vyetu, kama mnakunywa wine 🍷 🥸🥸🥸🥸.
Mnazingua sana Aise 🤔 🤔 🤔 Vodacom Tanzania
As I equally surprised by your recent ONE. Month 4GB bonus I can now understand that it was a mockery, you knowing that with such a weak network I will barely use an MB. Congratulations!Ndugu Mteja,
Tunapitia kipindi cha maboresho muhimu kwenye mifumo yetu ya TEHAMA kwa lengo la kuboresha zaidi huduma. Katika siku chache zilizopita, huenda umekumbana na changamoto katika matumizi ya huduma zetu.
Maboresho haya makubwa ya miundombinu yetu ya TEHAMA yanalenga kukuletea huduma bora na ya uhakika zaidi. Wataalamu wetu wanajitahidi kuhakikisha kuwa huduma zako zinaendelea bila kuathirika kwa kiasi kikubwa tunapotekeleza maboresho haya muhimu. Tunatarajia kukamilisha maboresho haya ifikapo katikati ya Novemba, na baada ya hapo, mtandao wetu utakuwa imara zaidi kwa manufaa yako na wateja wote.
Tunakushukuru kwa uvumilivu na uelewa wako wakati huu. Maboresho haya ni kwa ajili ya kukupelekea huduma bora zaidi sasa na kwa siku zijazo.
Asante kwa kuendelea kuwa nasi.
Uongozi wa Vodacom Tanzania
29 Oktoba 2024
FOR ENGLISH AUDIENCE
Dear Customer,
We are currently working on important upgrades to our IT systems to enhance your Vodacom experience. Over the last few days, you may have experienced some disruptions in our services.
These interruptions are due to ongoing major upgrades to our IT infrastructure, which are designed to enhance the quality and reliability of your Vodacom experience. Our teams are working diligently to minimize any impact on your service as we make these significant improvements. This exercise is planned to conclude by mid November, after which we expect a stronger, more resillient network to benefit all our customers.
We sincerely appreciate your patience and understanding during this period and want to reassure you that these upgrades are essential to serve you better, both now and in the future.
Thank you for your continued trust in Vodacom.
Vodacom Tanzania PLC
29th October, 2024
View attachment 3138323 View attachment 3138324
Mbona taarifa hamkutoa mapema na haya marekebisho ni kila mwezi au maana matatizo ya Yale yale kila sikuNdugu Mteja,
Tunapitia kipindi cha maboresho muhimu kwenye mifumo yetu ya TEHAMA kwa lengo la kuboresha zaidi huduma. Katika siku chache zilizopita, huenda umekumbana na changamoto katika matumizi ya huduma zetu.
Maboresho haya makubwa ya miundombinu yetu ya TEHAMA yanalenga kukuletea huduma bora na ya uhakika zaidi. Wataalamu wetu wanajitahidi kuhakikisha kuwa huduma zako zinaendelea bila kuathirika kwa kiasi kikubwa tunapotekeleza maboresho haya muhimu. Tunatarajia kukamilisha maboresho haya ifikapo katikati ya Novemba, na baada ya hapo, mtandao wetu utakuwa imara zaidi kwa manufaa yako na wateja wote.
Tunakushukuru kwa uvumilivu na uelewa wako wakati huu. Maboresho haya ni kwa ajili ya kukupelekea huduma bora zaidi sasa na kwa siku zijazo.
Asante kwa kuendelea kuwa nasi.
Uongozi wa Vodacom Tanzania
29 Oktoba 2024
FOR ENGLISH AUDIENCE
Dear Customer,
We are currently working on important upgrades to our IT systems to enhance your Vodacom experience. Over the last few days, you may have experienced some disruptions in our services.
These interruptions are due to ongoing major upgrades to our IT infrastructure, which are designed to enhance the quality and reliability of your Vodacom experience. Our teams are working diligently to minimize any impact on your service as we make these significant improvements. This exercise is planned to conclude by mid November, after which we expect a stronger, more resillient network to benefit all our customers.
We sincerely appreciate your patience and understanding during this period and want to reassure you that these upgrades are essential to serve you better, both now and in the future.
Thank you for your continued trust in Vodacom.
Vodacom Tanzania PLC
29th October, 2024
View attachment 3138323 View attachment 3138324
Sasa bando zetu hizi zinayeyuka tu. Maana juzi nimeshindwa kutazama mpira online kwa poor netwk.Ndugu Mteja,
Tunapitia kipindi cha maboresho muhimu kwenye mifumo yetu ya TEHAMA kwa lengo la kuboresha zaidi huduma. Katika siku chache zilizopita, huenda umekumbana na changamoto katika matumizi ya huduma zetu.
Maboresho haya makubwa ya miundombinu yetu ya TEHAMA yanalenga kukuletea huduma bora na ya uhakika zaidi. Wataalamu wetu wanajitahidi kuhakikisha kuwa huduma zako zinaendelea bila kuathirika kwa kiasi kikubwa tunapotekeleza maboresho haya muhimu. Tunatarajia kukamilisha maboresho haya ifikapo katikati ya Novemba, na baada ya hapo, mtandao wetu utakuwa imara zaidi kwa manufaa yako na wateja wote.
Tunakushukuru kwa uvumilivu na uelewa wako wakati huu. Maboresho haya ni kwa ajili ya kukupelekea huduma bora zaidi sasa na kwa siku zijazo.
Asante kwa kuendelea kuwa nasi.
Uongozi wa Vodacom Tanzania
29 Oktoba 2024
FOR ENGLISH AUDIENCE
Dear Customer,
We are currently working on important upgrades to our IT systems to enhance your Vodacom experience. Over the last few days, you may have experienced some disruptions in our services.
These interruptions are due to ongoing major upgrades to our IT infrastructure, which are designed to enhance the quality and reliability of your Vodacom experience. Our teams are working diligently to minimize any impact on your service as we make these significant improvements. This exercise is planned to conclude by mid November, after which we expect a stronger, more resillient network to benefit all our customers.
We sincerely appreciate your patience and understanding during this period and want to reassure you that these upgrades are essential to serve you better, both now and in the future.
Thank you for your continued trust in Vodacom.
Vodacom Tanzania PLC
29th October, 2024
View attachment 3138323 View attachment 3138324
Utopolo bana. 😅😅😅Ahsante kwa taarifa...
Hivi ni kwa nini kwa mnatumia rangi nyekundu kwenye kila kitu chenu...
Cc: Mahondaw
Kabisa... Voda, tigo, ni wahujumu uchumi... Kwa siku unaweza tumia bundle la 5000Tudai starlink ije ili kuongeza ushindani vifurushi vitashuka bei haraka sana