Hayo n mawazo yangu...tuuuYaani nikusaidie nikupe ajira alafu unipangie nikulipe shs. ngapi?. Wabongo bana!
Labda ana Danga Happ kibandaniNimemwambia wife aachaane na hiyo biashara kichaa hasikii
😂😂😂 Kwa vituko vingine kama hivi tubonyeze ngapi?Halafu mawakala tukipigwa pesa bandia & chuma ulete voda muwe mnatufidia jamani
C unaona jamaa ka comment ajira nikupe mm zen unipangie nikulipe shs ngap.Wale wameliteka soko apa bongo niwababe hadi kwny bundles ongeeni nao kwny vile vikao hau ujawai kuitwa ww
Ni vizuri kajiongeza[emoji1787][emoji1787]Labda ana Danga Happ kibandani
Laki 3 mpaka mbili na nusuAaaaaaaaaaaa......anapataga commission ya shs ngap mwisho wa mwezi????
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hio commission mbona ipo safi tuuuu....ukichanganya na mitandao mingine c anafikisha shs 600k.Laki 3 mpaka mbili na nusu
Kodi elf 80..lakin pia frem ina vipodozi na vijora vya kina mama
Hapo ni total ..tigo 150Hio commission mbona ipo safi tuuuu....ukichanganya na mitandao mingine c anafikisha shs 600k.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Sio mbaya ukitoa kodi unabaki na 350+Hapo ni total ..tigo 150
Airtel 120 to 130
Vodacom 100 to 80
Halopesaa 20 to 40
Mbona yuko vyema tu mkuu usimkatishe tamaaHapo ni total ..tigo 150
Airtel 120 to 130
Vodacom 100 to 80
Halopesaa 20 to 40
M_Pesa za vibansa umiza ndo zipoje mkuu???hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara
ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)
michanganuo yetu kwenye vibanda
WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO
5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000
kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.
ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.
MKUU ACHA KUDANGANYA WATU ASEE NAANDIKA HII COMMENT MPAKA SASA NIPO KIBANDANI KWANGU: INGEKUA NI FAIDA YA HIVYO NAKUHAKIKISHIA WATU WANGEKUA MATAJIRI MTAANI.hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara
ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)
michanganuo yetu kwenye vibanda
WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO
5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000
kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.
ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.