Vodacom tunaomba mfanye marekebisho kwenye commission

Vodacom tunaomba mfanye marekebisho kwenye commission

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,020
Reaction score
3,309
Vodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.

Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/= wakala anapata commission ya shs 645
2. Halopesa mteja akitoa 200,000/= wakala anapata shs 1390
3. Pia mtoe tozo ya ten percent jumla ya commission mwisho wa mwezi mfano wakala mwisho wa mwezi akipata commission ya shs 100,000/= nyie mnachukua elfu kumi,, wakala anabakia na elfu tisini.
 
hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara


ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)


michanganuo yetu kwenye vibanda

WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO


5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000



kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.

ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.
 
hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara


ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)


michanganuo yetu kwenye vibanda

WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO


5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000



kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.

ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.
M_Pesa za vibansa umiza ndo zipoje mkuu???
 
hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara


ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)


michanganuo yetu kwenye vibanda

WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO


5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000



kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.

ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.
MKUU ACHA KUDANGANYA WATU ASEE NAANDIKA HII COMMENT MPAKA SASA NIPO KIBANDANI KWANGU: INGEKUA NI FAIDA YA HIVYO NAKUHAKIKISHIA WATU WANGEKUA MATAJIRI MTAANI.

IPO HIVI KWA MIHAMALA YA KUTOA.

5000-9999 FAIDA 187
10000-19999 FAIDA 230
20000-29999 FAIDA 294

50-99 ELFU: FAIDA 322

100K NI 460.

WE UMEITOA WAPI HIYO FAIDA YA MUHAMALA WA SH 5000? NDO ULIPWE 500 BAYO HIYO CAMISHENI HATA MTU ALIYE TOA LAKI MOJA HUWEZI IPATA?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom