Vodacom wabandua mabango yenye picha za Diamond

Sio kilio cha Lara1 bali ni kilio cha MANGE KIMAMBI. Otherwise Lara1 ni Mange kimambi
 
Sasa ngumbaru kama diamond atajua lini English,collabo zote wenzake wanaimba kiingereza yeye anaishia Kiswahili.Mambo yake imeishia hapo...
Acha bhana... kumbe wenzake collabo zote wanaimba kwa Kiingereza?! Na ndio maana sie wengine wala hatukuona sababu ya kutaka kuwa wasomi...
 

Ni Kweli kabisa mkuu kama ni kufuta hadi online wangefanya hivyo...lakini mwambie lara1 aangalia hapa hapa jamii forums upande wa kulia...atakutana na bango la mnyama...aka SIMBA.
 
yamebakia humu jamii forums tu..
 
ndio kutoswa huko
Kila tangazo la makampuni ya simu lina target yao isipofikiwa within a period of time wanachange.
Au wanaweza tengeneza tangazo la promotion flani kampuni nyingine ikaja na promotion yenye ubora kuzidi wao basi wanaachana na hiyo wanakuja na nyingine.
Thats how it works huku kitaa watu porojo nyingi
 
Sasa ngumbaru kama diamond atajua lini English,collabo zote wenzake wanaimba kiingereza yeye anaishia Kiswahili.Mambo yake imeishia hapo...
Una wafahamu mafikizolo mbona hawabi kingereza, phyno one of the best rappers wa africa mbona ana rap ki igbo hata collabo zote alizofanya ni igbo.
Acha apaishe kiswahili mziki mzuri ni mzuri tu hata uwe umeimbwa kwa lugha ambayo huielewi.
 
Aha aha nimemsoma mdau mmoja anasema mpaka saiv tunaenda mwez wa 5 dai hajapata award hata moja..kwa taarfa tu tangu mwaka uanze dai ana award kama 6 au 7 za kimataifa..kama hujui unachoongea kaa kimya
 
Nimekupenda Ghafulaa
 
So do you think voda wametoa matangazo bcz of you? C'm on lara 1 ,
 
Lara Ali leta hii mada Siku ambayo video ya chrissbrown ilivokua viral akijutia kumpiga rihana miaka kadhaa na jinsi ilivo muathiri kwenye deals sake naona Lara akaleta thread that day ,lol the funny thing is she actually believe yeye ndo kasababisha hayo yatolewe ,lol huyu Dada anafrahisha sana.
 
Nasoma uu uzi, Nipo ndani ya daladla Tangu Nimepanda ni nyimbo za Mondi tu, Hadi Raha Yaani, Na Nashuka bdo Zaimba, Love you NASIB
 
Ila mond aache uchafu wa kuzalilisha wanawake....
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Hopeless. Kweli ndio maana tupo kwenye nafasi za juu katika nchi ambazo wananchi wake wanaishi kwa Huzuni. Hii inaonesha ni kwa kiasi gani mtu akifanikiwa wengine wanavyoumia mioyoni mwao. Infact Diamond bado ni balozi wa Vodacom, mabango kutolewa haimaanishi katoswa bali Vodacom waneanzisha promotion nyingine. Vodacom haifanyi kazi kienyeji/kiswahili. Jiulize utapata stress kiasi gani promotion ijaya Diamond akitokea tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ???
 

Mbona jana alifanya Show ya Vodacom kwenye sherehe ya wafanya kazi wao ...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…