Vodacom wabandua mabango yenye picha za Diamond

Attachments

  • 1461326311675.jpg
    78.6 KB · Views: 77
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unanitania chief, unless kuna maelezo mengine.
Ha ha ha maelezo yamejitosheleza kabisa, hivo diamond hastahili kuwa ambassador wa kampuni kubwa kama Vodacom ni mdhalilishaji wa wanawake.... Na hivi sasa sauti ya lara imesikika mabango ya diamond yametolewa 😀😀😀😀😀
 
weka picha hizo walizozitoa na walizoziweka
 
Vodacom na Diamond na familia nzima wamesaini mkataba wa mwaka mzima kwa hiyo kubandua mabango haiwezi kuathiri mkataba!

Na wakivunja mkataba watamlipa na kwa hili vodacom hawawezi kabisa!
 
Kabla ya kushabikia ingekuwa busara tukajua mkataba wao ulikuwaje. Kama kesha vuta mkwanja haya mambo mengine madogo sana.

Mwalimu wangu wa saikolojia aliwahi kusema, "mtu ni kichwa". Ukisoma maandishi ya watu unaweza jua kuna watu hawana vichwa.
 
Ingekua ni rahisi rahisi hivo duh tungekua tunafanyiana fitna asubuhi na jioni
Hapo chacha!! Ndo mtu amekupeleka mahakamani kwamba unaharibu image yake kibiashara... Upande wa Mlalamikaji unakutaka ulete ushahidi wa tuhuma dhidi ya Mlalamikaji ndo unatoa hivyo vi-link na copy ya gazeti la Risasi!!
 
They didnt remove them because of your complaints...they removed them because now it is time for double bundle promotion. Some of us work in marketing and we know what is going on. But if you want to think the change has anything to do with YOU, well go ahead and make yourself happy.
 
Exactly my point. She has convinced herself might as well make herself happy
 
Wapiii...usiwaamini. Yaani they think Vodacom inaendeshwa na small minded people.
Mi ni wa mwisho kabisa kuamini hii chai, kwamba lara kasema diamond ni mdhalilishaji akaweka na picha za wema kapigwa kutoka kwa shigongo..... Voda wakafanya maamuzi magumu ha ha ha ha ha inahitajika kujitoa akili kwanza ndo uamini hayo maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…