Watu wanajaribu kuongea bila kuangalia uhalisia ,, hivi ni mtanzania gani ambaye atakubali kununua vocha akaiweka na kumpigia mtu bila kujiunga kwa dakika kumi ? , jibu ni wapo ila wachache sana kwa sababu wengi wetu ni wa vocha za jero , na je ina raha gani kufanya hivyo ilihali ukinunua jero yako na kujiunga utapata dakika za mitandao yote badala ya zile za mtandao mmoja tu ambazo kuzipata mpaka uongee dakika kumi kavukavu bila kujiunga ,,, nini maana ya jambo hili basi mpango wa ongea dylee haukufanikiwa kupata wateja wengi kwa mantiki hiyo basi ikawa imebuniwa plan mpya ambayo ni bando mbili dabo ukinunua moja ambayo pia nahisi bado inahitaji maboresho kwa kiasi flani hivyo suala la mabango yenye picha ya muha kutolewa haimaanishi kwamba deal na muha imekwisha bali ile plan A imegoma sasa ni plan B dabo bhando ..... yangu macho laini yangu ntaiweka mpaka zikifika nunua bando moja upate nne ... ha ha ha ha