Vodacom wahama kutoka kwa Master Card to Visa Card

Vodacom wahama kutoka kwa Master Card to Visa Card

bank yoyote unayifahamu charges ni ndogo?
FNB bank

Wana account tofauti tofauti,

Moja ya account hizo ni ambayo ina fixed charges ya 16,000 kwa kila mwezi,

Bila kujalisha hujafanya muamala ndani ya huo mwezi, au umefanya miamala 100 au zaidi, pia bila kujali kiasi cha fedha za maiamala utakayofanya, kwa mwezi husika, utakachokatwa kwenye account yako ni fixed.
 
  • Lazima uwapigie simu.
  • Na ubahatike kupata customer care mwenye uelewa.

Iliwahi nitokea, nilihudumiwa na watoa huduma zaidi ya mmoja. Mtu wa tatu ndie alikuja kunielewa na kufanikisha.
Hawa sio chaguo sahihi...hii case yako nishaiskia kwa watu zaidi ya wa 5
 
Jamani wamendwa hivi punde nimepokea sms ya kwamba m pesa master card haitopatikana Tena. Bali Kuna mpya ambayo ni M-pesa Visa Card.
Nmefurahi maana mastercard ina ma limitation mengi, mara oh usitumie pesa kwenye betting, ukitaka nunua cryptocurrencies via skrill kwenye localbitcoin, wauzaji wanakwambia hapokei pesa ambayo source ni mastercard. Skrill huwezi withdraw pesa via mastercard. Maujunga mengi. Visa safi kabisa
 
Hawa walinipiga sitasahau, kila failed attempt ya kukata hela wanalamba 2000 kwenye account, ikifika zero inaenda negative, siku ukiweka Hela wanakata yote.
Hawa mkuu unatakiwa uwe na uhakika na balance yako...ukizingua basi hapo ndio wanakunyosha...the rest wako poa,hakuna sehem inakwama hii card..kila chocho on-line inakatiza
 
Hawa walinipiga sitasahau, kila failed attempt ya kukata hela wanalamba 2000 kwenye account, ikifika zero inaenda negative, siku ukiweka Hela wanakata yote.
hii failed attempt fee/fine walikinikata laki nzima, sisahau haha
ilifanyika failed attempts nyingi mno ilihali sijui makato yake
 
hii failed attempt fee/fine walikinikata laki nzima, sisahau haha
ilifanyika failed attempts nyingi mno ilihali sijui makato yake

[emoji28] dah hii ni balaa sasa mbona wanakupa hasara kiasi hicho

Vodacom ndio wameamia visa mazima? maana hata mm leo asubuhi nmeona sms wamerudisha pesa kwenye Mpesa
 
- Awali tulishindwa kuhamisha fedha toka Skrill kwenda kwa broker, iwapo (voda)mastercard ilitumika, Ila kwa sasa itawezekana, sababu visa haina restriction skrill kwenda kwa broker au any online casino.

Ndio, utapokea fedha yako kama kawaida.
Ni swala la kujaza taarifa sahihi katika web husika ili kulink kadi yako.

Bila shaka,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya wao ku_switch from master to visa.
mmmh! Kwenye kupokea sidhani maana ile ni credit card ni special for purchase ya kupokea ni debit card
 
Nyingine inapokea na nyingine yakutuma Kama sijakosea
 
Back
Top Bottom