TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
hawajarudisha badoKAMA siyo SAMIA wasinge rudisha, hongera mama SAMIA NA CCM kwa ujumla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawajarudisha badoKAMA siyo SAMIA wasinge rudisha, hongera mama SAMIA NA CCM kwa ujumla.
Kwenye internet yao bado hali mbaya. 10,000 ni GB2 kw mweziBaada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.View attachment 1767268
Kweli kabisa. Narafuta mtandao ambao ndiyo una nafuu ya GB data maana ninatumia sana mtandao. Voda itabaki kwa mambo mengine maana ni official line yangu ya contacts za biashara. Voda hovyo KABISA.Yaan mmi nimelia nao sana kwanza ile 100 huduma kwa wateja haipo huwez kuwapata, pili waongo sana wanaenda kwenye ukurasa wa Rais samia wanajiandikisha vitu et tumeboresha zaid mm kila nilipokua nikijaribu sion kitu week kama moja na nusu jana nimeamua rasim kuhama voda na kwenda zantel, jamani hamia zantel raha tupu. J.b na m.b za kufa mtu dakika kibao mitandao yote voda bayee nitachukua line niweke simu ndogo kwa ajiri ya m.pesa baaas.
Kweli wamefanya mabadiliko lakini sio kwa Simcard zote, mimi ninazo laini zao kama tatu lakini moja tu ndio wamebadilisha menyuBaada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.View attachment 1767268
Mkuu jamaa ni kweli yake, hayo mabadiliko sio kwa laini zote, ni baadhi tu mimi nimetest laini tatu, ila moja ndio inabadiliko hiloAcha uongo wewe!! Hii JF imevamiwa na Watoto wa shule!! Ni shida! Unawezaje anzisha uzi wa uongo?? Inakusaidia nn??
Vodacom bado hawajashusha bei za Vifurushi!! Labda mmeshushiwa huko Buza Kwa Mpalange.
Hapo sawa. Sasa kuna watu wanabisha humu. Mimi nina laini moja tu ndio hii walioshusha vifurushi. Na hapa nipo youtube nakula mahubiri/Neno la Mungu kutoka Texas[emoji3]Kweli wamefanya mabadiliko lakini sio kwa Simcard zote, mimi ninazo laini zao kama tatu lakini moja tu ndio wamebadilisha menyu
Vumilia mkuu awamu kwa awamu[emoji3]Mbona kwangu haiko hivyo? View attachment 1767346
Atangoja milele. Voda wanawajali Sana wateja wapya. Hizo ofa zipo toka zamani kwa wateja wapya.Vumilia mkuu awamu kwa awamu[emoji3]
Kwangu bado inaonyesha dk 70 mitandao yote etc.Menu:
*149*03#
Kisha chagua namba 4.
Nilikuwa nimeishaiteleza line ya Voda wacha niitafuteBaada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.
View attachment 1767268