Wakikata kwa wateja buku wanaingiza pesa ngapi?? Mkuu punguza hasira japo kidooogo
🤣🤣🤣🤣🤣 wamekupiga shilingi ngapi mkuu?
Wamenipiga sana mkuu.. Nina hasira nao sana.. Majambazi hawa.Wakikata kwa wateja buku wanaingiza pesa ngapi?? Mkuu punguza hasira japo kidooogo
🤣🤣🤣🤣🤣 wamekupiga shilingi ngapi mkuu?
Mara nyingi mno mkuu. Na nimejitoa mara nyingi.Umewapigia wahudumu wao kwa 100 kuwauliza tatizo hili!?
Watanzania tunaibiwa sana mkuu ..yani tunaibiwa sanaa..Umewapigia wahudumu wao kwa 100 kuwauliza tatizo hili!?
Mimi kuna mtandao walikuwa wananitumia sms hazina kichwa wala miguu. Nilipigia, gia ya kwanza nilimwambia muhudumu abonyeze kitufe cha kurekodi mazungumzo yetu...
Peleka malalamiko TCRA ukiwa na ushaidi, utapa walau 1 au 2.5 mil kama fidiaNimejitoa mara nyingi kwenye huduma yenh hii ya soka letu.. Na wala sikumbuki kuwahi kujiunga k ***** zenu...
Kila nkijitoa mnanirudisha .
Nikiweka pesa automatically inakatwa. Acheni upumbavu huu wapumbavu nyinyi. Nimechoka.
View attachment 1987079
Hakuna swali lolote nlijibu m k ndu nyie. Nrudishieni pesa yangu.