Vodacom wamenifanyia unyama, kesho naenda makao makuu na mwanasheria wangu.

Vodacom wamenifanyia unyama, kesho naenda makao makuu na mwanasheria wangu.

Koffi Annan

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2018
Posts
1,771
Reaction score
5,087
Nimejiunga na kifurushi cha SME package ya 50k kwa mwezi yenye GB 50 pamoja na dakika 2000, GB ziliisha juzi nikabaki na dakika ambapo mpaka ijumaa usiku nilikua na dakika 998

Screenshot_20241117-133815_Messages.jpg

Matumizi yangu kwa siku ya jana hayajazidi dakika 300 kwa mujibu wa call history.
Sijapokea sms yoyote kuonesha dakika kuisha na wala nisingeweza kutumia dakika 998 kwa siku ya jana,
Leo nimeamka asubuhi napiga simu naambiwa sina salio, baada ya kuangalia salio nakuta sina dakika hata moja
Nimeongea na mhudumu wao yeye mwenyewe baada ya kukagua amekua shoked na kunipa zile sound zao za ombi lako litashuhulikiwa baada ya masaa 24 nimemwambia kauli hii sio ngeni jijini labda kwa wageni wa mji, kesho asubuhi sina kazi wafanyakazi watanikuta getini na sitoki ofisini kwao bila dakika zangu kuwepo kwenye simu



Sitakubali sound yoyote ile ya nenda dakika zako zitarejea otherwise wanirudishie pesa yangu.
 
Limechelewa kukukuta mimi nilikuwa na dakika 12 muda huohuo nikapiga na kuongea na binadamu mwingine kwa sekunde 24 ila nikaambiwa zimebaki dk 3 na ile pop up message yao nikafikiri wanatania kupiga tena nikatumia dk 1 tu na kifurushi kikaisha kabisa. hawa ni wezi
 
Limechelewa kukukuta mimi nilikuwa na dakika 12 muda huohuo nikapiga na kuongea na binadamu mwingine kwa sekunde 24 ila nikaambiwa zimebaki dk 3 na ile pop up message yao nikafikiri wanatania kupiga tena nikatumia dk 1 tu na kifurushi kikaisha kabisa. hawa ni wezi
Waliokubuhu, hudumq zimekua mbovu wanaboresha wizi, huwezi iba dakika 700+
 
Nimejiunga na kifurushi cha SME package ya 50k kwa mwezi yenye GB 50 pamoja na dakika 2000, GB ziliisha juzi nikabaki na dakika ambapo mpaka ijumaa usiku nilikua na dakika 998

View attachment 3154486
Matumizi yangu kwa siku ya jana hayajazidi dakika 300 kwa mujibu wa call history.
Sijapokea sms yoyote kuonesha dakika kuisha na wala nisingeweza kutumia dakika 998 kwa siku ya jana,
Leo nimeamka asubuhi napiga simu naambiwa sina salio, baada ya kuangalia salio nakuta sina dakika hata moja
View attachment 3154512
Nimeongea na mhudumu wao yeye mwenyewe baada ya kukagua amekua shoked na kunipa zile sound zao za ombi lako litashuhulikiwa baada ya masaa 24 nimemwambia kauli hii sio ngeni jijini labda kwa wageni wa mji, kesho asubuhi sina kazi wafanyakazi watanikuta getini na sitoki ofisini kwao bila dakika zangu kuwepo kwenye simu

Sitakubali sound yoyote ile ya nenda dakika zako zitarejea otherwise wanirudishie pesa yangu
Huna haja ya kwenda na mwanasheria, wewe kawakabe watakurudishia tu, kesi ndogo hiyo usiongeze gharama.
 
Vodacom Tanzania sikilizeni haya malalamiko. Sasa hivi mtandao wenu una malalamiko mengi sana. Kuisha kwa vifurushi isivyo kawaida ni tatizo kwenu. Kupitia huyu labda mnaweza kuwa na maelezo mazuri hapa jukwaani watanzania wakaelewa
 
Back
Top Bottom