Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili tatizo limenipata pia.Nimejiunga na kifurushi cha SME package ya 50k kwa mwezi yenye GB 50 pamoja na dakika 2000, GB ziliisha juzi nikabaki na dakika ambapo mpaka ijumaa usiku nilikua na dakika 998
View attachment 3154486
Matumizi yangu kwa siku ya jana hayajazidi dakika 300 kwa mujibu wa call history.
Sijapokea sms yoyote kuonesha dakika kuisha na wala nisingeweza kutumia dakika 998 kwa siku ya jana,
Leo nimeamka asubuhi napiga simu naambiwa sina salio, baada ya kuangalia salio nakuta sina dakika hata moja
View attachment 3154516
Nimeongea na mhudumu wao yeye mwenyewe baada ya kukagua amekua shoked na kunipa zile sound zao za ombi lako litashuhulikiwa baada ya masaa 24 nimemwambia kauli hii sio ngeni jijini labda kwa wageni wa mji, kesho asubuhi sina kazi wafanyakazi watanikuta getini na sitoki ofisini kwao bila dakika zangu kuwepo kwenye simu
Sitakubali sound yoyote ile ya nenda dakika zako zitarejea otherwise wanirudishie pesa yangu.
Hawa niliwakaba 2007 walinirudishia salio tiGo pesa 25,000. Walikuwa wananiletea matokeo ya soka kwa meseji halafu wanakata hela km 200 kila meseji, sasa wataanza matokeo ya EPL na wapi huko sijui wanakata usiku wa manane wakati nina matokeo tayari. Kiliwaka kwa meneja pale Majani ya Chai wakawasiliana na wahindi in 5 days wakashusha muamala. Nililewaje sasa...!!!!????Tigo hawaoneshi salio la kifurushi leo siku zaidi ya tano.
Wanasema utatumiwa ujumbe wa SMS shortly wa salio. Haziingii hizo sms milele.
Kifurushi kinakata Kama upepo. Nimerudi Airtel.
Sawa but he will incur some costs like nauli na maji, si unajua tena sisi ni waTz.ana mwanasheria wake binafsi huwa anamlipa mwisho wa mwezi
DuuuhHapo umefungua ya kariakoo na ya baltazar bado una lia