Vodacom wazindua Router za 5G, bei pasua kichwa

Vodacom wazindua Router za 5G, bei pasua kichwa

Tatizo kwa maelezo ya Waiziri wa haya mambo ya mitandao hiyo ni huduma ya ziada, unaweza ukatoa 850,000 ukakinunia hicho kikopo halafu ghafla ukaambiwa gharama za bando zimebadilika hakuna hiyo unlimited volume ya data tena ukaungishwa hizi za 50,000 unapata gb 24 ambazo zinafyekwa kwa kasi ya 5G. Hakuna consumer protection....
Hiyo ndo hatari iliyopo, hapo wangeconnect line tu na hiyo huduma then device utajua mwenyewe.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.

View attachment 2418729

Ama kweli, Haya Maisha wanaejoy Wachache
 
Ama kweli, Haya Maisha wanaejoy Wachache
Kibongo bongo internet zaidi ya 40mbps ni anasa tu, na hio 40mbps ni mtu ambaye kajipanga sawasawa nyumbani tayari Kuanzia 4k TV na HDR, Netflix ananunua 4k, Deki zake za 4k etc.

Otherwise kikawaida 10mbps inatosha matumizi ya kawaida ya ya Full HD.

Na ukijibana chinia ya 5mbps maisha yanaendelea na HD ya kawaida.
 
Hiyo 850K ni hicho kikopo chenye logo ya Voda au ndani yake kuna kitu kikubwa chenye thamani ya kulingana na hiyo pesa?
Bro nimecheka mbele ya mkuu wangu na tuko kwa kikao umenifanya nijibu hoja nisizozitaka
 
Mwenye ufahamu ussd au Menu ya kununulia vifurushi vya 5G router voda. Naomba msaada
 
Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.

View attachment 2418729
Kwa nahitaji Gani ya Internet hapa Bongo ? Au unataka kwenda mwezini?
 
Back
Top Bottom