Akotia
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 528
- 1,241
Mwananyamala hospital mmefika?Apo mbn kama coverage ipo nichek 0744355811 nkusaidie mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwananyamala hospital mmefika?Apo mbn kama coverage ipo nichek 0744355811 nkusaidie mkuu
Leta details zako ufanyiwe survey lkn ayo maeneo coverage ya 5G na LTE Iko pow kabsa ila ufanyiwe survey kwanzaMwananyamala hospital mmefika?
Hiyo ndo hatari iliyopo, hapo wangeconnect line tu na hiyo huduma then device utajua mwenyewe.Tatizo kwa maelezo ya Waiziri wa haya mambo ya mitandao hiyo ni huduma ya ziada, unaweza ukatoa 850,000 ukakinunia hicho kikopo halafu ghafla ukaambiwa gharama za bando zimebadilika hakuna hiyo unlimited volume ya data tena ukaungishwa hizi za 50,000 unapata gb 24 ambazo zinafyekwa kwa kasi ya 5G. Hakuna consumer protection....
[emoji3][emoji3][emoji3]Ulivyoiongelea mwanzo ulionesha Starlink utapewa bure na utakuwa unalipa $5 kwa mwezi.
Hiyo €50 ni sawa na internet ya vodacom ambayo inakutoa jasho tangu awali.
Kama umeshindwa ya voda ndo utaweza dollar 99 kwa mwezi?Hawa starlink si waingie sokoni, tupate ushindani.
Duuuh..110$ monthly package halafu starter kit yake ni dollar 500 na ushee hivi...
Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.
View attachment 2418729
Itakuwa iko tayar Kuna mikoa kama minne ivi niliona wameandikaIyo bei kubwa sana ngoja nisubiri internet ya elon musk[emoji1]
Kibongo bongo internet zaidi ya 40mbps ni anasa tu, na hio 40mbps ni mtu ambaye kajipanga sawasawa nyumbani tayari Kuanzia 4k TV na HDR, Netflix ananunua 4k, Deki zake za 4k etc.Ama kweli, Haya Maisha wanaejoy Wachache
Vipi huku bunju mmefikaaaJust pay security deposit Yako ya 240k unaletewa device Yako home without stress sema ni Lazima tufanye survey kwanza
Bro nimecheka mbele ya mkuu wangu na tuko kwa kikao umenifanya nijibu hoja nisizozitakaHiyo 850K ni hicho kikopo chenye logo ya Voda au ndani yake kuna kitu kikubwa chenye thamani ya kulingana na hiyo pesa?
Tumefika bossVipi huku bunju mmefikaaa
*150*00#Mwenye ufahamu ussd au Menu ya kununulia vifurushi vya 5G router voda. Naomba msaada
Kwa nahitaji Gani ya Internet hapa Bongo ? Au unataka kwenda mwezini?Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.
View attachment 2418729
Then*150*00#