Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ndugu zangu wana Jamvi mnakumbuka siku chache zilizopita, baadhi ya wateja wamekumbana na changamoto za kutumia huduma ya mtandao wa Vodacom?
So Vodacom Tanzania hivi sasa wanafanya maboresho muhimu ya mifumo ya TEHAMA kwa lengo la kuboresha huduma kwa wateja wake.
Soma, Pia: Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee
Katika taarifa yao wanasema maboresho hayo yataimarisha mtandao kwa manufaa ya wateja wote. Maboresho yanatarajiwa kukamilika ifikapo katikati ya Novemba.
So Vodacom Tanzania hivi sasa wanafanya maboresho muhimu ya mifumo ya TEHAMA kwa lengo la kuboresha huduma kwa wateja wake.
Soma, Pia: Mtandao wa VODACOM umekuwa una shida sana poleni mnaotumia Voda pekee
Katika taarifa yao wanasema maboresho hayo yataimarisha mtandao kwa manufaa ya wateja wote. Maboresho yanatarajiwa kukamilika ifikapo katikati ya Novemba.