The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Vodacom ina gharama kubwa kweli ila ina kasi kubwa pia. Hao wengine wame-compromise price with speed. Airtel na tigo hata bure huwezi kuniambia nizitumie maana ni mitandao ya hovyo, huduma mbovu ya wateja, kazi ya kinyonga ya mtandao.
Siku zote kitu kizuri kina gharama. Mimi binafsi hua sijiulizi sana inapokuja kwenye bei ya vifurushi vya vodacom kwa sababu hua nina uhakika na ubora wa huduma yao.
2G ya vodacom ni sawa na 4G ya airtel na tigo kwenye kasi.
Mwisho, serikali ipungize au iyadhibiti makampuni ya simu kwenye vifurushi, inaonekana yanajipangia bei ya vifurushi, hakuna usimamizi.
Siku zote kitu kizuri kina gharama. Mimi binafsi hua sijiulizi sana inapokuja kwenye bei ya vifurushi vya vodacom kwa sababu hua nina uhakika na ubora wa huduma yao.
2G ya vodacom ni sawa na 4G ya airtel na tigo kwenye kasi.
Mwisho, serikali ipungize au iyadhibiti makampuni ya simu kwenye vifurushi, inaonekana yanajipangia bei ya vifurushi, hakuna usimamizi.