The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Hapo kwenye mb kweli tatizoGharama hizo ni endepo hujajiunga na kifurushi,ila wajue kwamba hata ukijiunga na kifurushi cha GB 10 unashangaa unaambiwa kifurushi chako kimeisha,utaona msg MB za kifurushi chako ziko chini ya 15MB mara paap zimeisha hata kama hujawasha data,swali najiuliza huwa wanazikusanyiwa wapi hz MB zetu hazijai tu siku wakatoa hata offer..
hakuna kitu kinanikera kwenye voda kama ukitaka kuaccess account yako ya benk na kufanya miamala kama line ya simu haina salio huwezi kuingia, wakati mitandao mingine hata kama huna salio unaweza ku access account yako bila shida na kufanya miamala yako bure kabisa
Mkuu, halotel kwa vifurushi vya wiki wamekaaje? Nafikiria kwenda Halotel.Halotel babalao....Kwa TSh.1000/= unapata 1024MB (1GB) ya kutumia wiki nzima. Voda naitumiaga tuu kwenye miamala ya M-PESA na kupiga ni Airtel.
Smile vifurushi vyao vipoje? Mwenye kutumia huo mtandao tujuze tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli. Mimi natumia simbanking Mara nyingi. Ila inatakiwa uwe na bundleHaswa wanakela kweli kweli