vodafone k 3565 z imenishinda

the kapex

Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
35
Reaction score
2
Nilikuwa natumia modem hiyo hapo juu lakini nimejitahidi sana kuichakachua matokeo yake nimeiharibu lakin kabla sijaitupa naomba mnisaidie yaani nikiichomeka inawasha taa nyekundu na pia haionekani tena nifanye nini ili irudie hali yake ya zamani
 
Haiwezi kurudi hali yake ya zamai, lakini unaweza kuitumia kama zamani... Ngoja tuamke.
 
Nilikuwa natumia modem hiyo hapo juu lakini nimejitahidi sana kuichakachua matokeo yake nimeiharibu lakin kabla sijaitupa naomba mnisaidie yaani nikiichomeka inawasha taa nyekundu na pia haionekani tena nifanye nini ili irudie hali yake ya zamani

wala haijafa mkuu, labda useme ulitumia software gani kuichakachua? Tatizo lako huenda ni kuto-mount kwa cd rom ya modem. Nitajie software uliyotumia ntakusaidia
 
Go to huawei site and download firmware and reinstall again.problem will be solved mkuu
 
Nilikuwa natumia modem hiyo hapo juu lakini nimejitahidi sana kuichakachua matokeo yake nimeiharibu lakin kabla sijaitupa naomba mnisaidie yaani nikiichomeka inawasha taa nyekundu na pia haionekani tena nifanye nini ili irudie hali yake ya zamani


Mkuu unahitaji kwanza uinstall dasbord ya Vodafone ndio modem yako itaonekana, baada ya hapo unaweza kurudishia oriinal dashboard na Modem ikarudi kama zamani..........nakumbuka nilikutumia hiyo software na maelezo kwenye ya hotmail yako wapi ulikwama?
 
Katika kuchakachua modem kwa kutumia DC-unlock, nikosa kubwa ku-write dashboard kabla ku-read dashboard kwanza. inavyotakiwa u-read kwanza ili ui-seve hiyo vodafone dashboard, lakini ukiapandishia tu! basi modem yako haitaonekana tene kwenye my computer ingawa itakuwa taa ya njano iko ON kuashiria modem iko hai, nikwali modem iko hai haijafa, sasa ili uweze kuitumia unatakiwa u-update driver za hiyo modem kwani sasa hiwezi tena kuingiza driver automatic, kisha nenda network connections, create anew connection, next, connect to the internet, set up my connection manually, connect using dial0up modem,ichague ZTE dial-up modem, isp name weka lolote utakalo, phone nomber *99#, password na usename unaweza ukaacha. Add ashortcut piga tick, hiki. umemaliza. kama utaona utaratibu huu ni mrefu sana basi tusubiri wataalam waje na njia mbadala. lakini njia hii ni 100% utafanikiwa.
 
Kama ulitumia DC-Unlocker kwanza write dashboard kisha restart DC-Unlocker, search your modem ikishaonekana pale under detection card andika (AT+ZCDRUN=F) bila mabano kisha bonyeza Inter, kazi itakuwa imekwisha. Usisahau kubonyeza kitufe cha Thanks hapa chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…