Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa natumia modem hiyo hapo juu lakini nimejitahidi sana kuichakachua matokeo yake nimeiharibu lakin kabla sijaitupa naomba mnisaidie yaani nikiichomeka inawasha taa nyekundu na pia haionekani tena nifanye nini ili irudie hali yake ya zamani
Nilikuwa natumia modem hiyo hapo juu lakini nimejitahidi sana kuichakachua matokeo yake nimeiharibu lakin kabla sijaitupa naomba mnisaidie yaani nikiichomeka inawasha taa nyekundu na pia haionekani tena nifanye nini ili irudie hali yake ya zamani