Wala usizunguke sana mkuu, kwa hiyo Rais anapaswa kutawala nchi kwa kufuata voices from within au KATIBA? The qns is very simple 𤣠š¤£hata katiba pia ni zao la hizo sauti....zilianza ndipo ikaja KATIBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usizunguke sana mkuu, kwa hiyo Rais anapaswa kutawala nchi kwa kufuata voices from within au KATIBA? The qns is very simple 𤣠š¤£hata katiba pia ni zao la hizo sauti....zilianza ndipo ikaja KATIBA
Katiba ni mjumuika ya yote yaliyokubaliwa , but kama Voice from within itamuonyesha kuwa pengine katika hayo yaliyokybaliwa hili siyo..hili ndiyo..then anaweza kuwa na will yake binafsi...hapo ndipo linapokuja uimara wa taasisi ...but yote kwa yote source yake ni Voice From withinWala usizunguke sana mkuu, kwa hiyo Rais anapaswa kutawala nchi kwa kufuata voices from within au KATIBA? The qns is very simple 𤣠š¤£
Mkuu AKILI TATU , ulichofanya ni anticipation, hakuna ubaya ku anticipate kuwa bilionea, au kulamba bingo, ila ukikosa huna haja ya kuumia kukosa kitu ambacho you have not tried!, ni kama missing something that you never had!.Ndugu wanabodi kwanza niwape salamu, lakini kipekee nimpe salamu za heshima ndugu yetu hapa jamvini Pascal Mayalla , ambapo amekuwa kitujuza mambo mbalimbali haswa mada zake za Voice from within, binafsi nimekuwa shabiki wake bila kujali mada hizo zinamrengo gani.
Je, kumbe ni kweli sometime hizi voice within huwa ni kweli na zinafanya kazi hivi...sasa nimuulize Mzee wetu hapa ndugu, Pascal Mayala. Hizi sauti kwa hakika kabisa inafaa ufanyeje ili unapozisikia usiwe na wasiwasi nazo na kutenda palepale inapokutokea na je hii sauti inaweza kuja kujirudia tena au ndio imepita niaanze kujihesabu nimekosa ridhiki ?..maana mimi niliipuuza.. pengine leo ningeamka Bilionea jameni.
Haya ni mambo ya imani, voices from within ni sauti from your inner self, from your conscious. Kila binadamu ana conscious na kabla hujatenda jambo lolote ni lazima kwanza kutafakari na kujiuliza, lile jibu unalopata ndio the voices from within.Haya mambo ya kutaka nchi iendeshwe kwa voices from within ni ya kipuuzi na wala hayana merit yoyote, ni mpumbavu pekee anayeweza kuamini haya mambo ya voices from within- Kwa hiyo kila mtu akija na habari ya voices from within kutaka kuitawala nchi, nchi itatawalika? 𤣠𤣠nonsense
Nakuelewa Sana Mkuu .... Ila ajabu hata Yule bwana aliyeshinda nimekuja kujua NI MTU WA kutoka mkoa naotoka...but anaishi the same direction na ninapoishi...plus WOTE WA haiba ,wajih na dini moja...je hio sio kwamba Ile ni sign ya kuonyesha pengine the voice ilikuwa true Kwa wakati ule!?Mkuu AKILI TATU , ulichofanya ni anticipation, hakuna ubaya ku anticipate kuwa bilionea, au kulamba bingo, ila ukikosa huna haja ya kuumia kukosa kitu ambacho you have not tried!, ni kama missing something that you never had!.
Pili humu duniani kuna mambo ya Ki Mungu na kuna kuna mambo ya shetani, michezo yoyote ya kamari regardless inatumia jina gani, sio mambo ya Mungu, mengine ni mambo ya dunia hii na mengine ni mambo ya shetani!.
Vivyo hivyo hizo voices from within, sio lazima sauti zote ziwe ni sauti ya Mungu, sauti nyingine ni sauti za shetani!. Sauti inayomwambia mtu acheze kamari sio sauti ya Mungu, kama sauti iliyokutuma kutazama zile picha na video za naniliu za wazungu!. Huyo ni shetani tena kuangalia sana video hizo ni pepo la uzin.. na ngo..!
Kila jambo la kheri, hutokea kwa wakati wake, hivyo ukiona halijatokea, ujue wakati wake bado na wakati wako bado!.
Mpango wa Mungu kwa binadamu ni afanye kazi kwa bidii, atoke jasho, ndio afanikiwe na sio akalie kucheza kamari kusubiria kuwa bilionea!.
Fanya kazi, utafanikiwa!.
P
Somo la kwanza ni self realization, kujitambua kuwa you have the powers na kusema kwa kukiri kwa kinywa maneno haya kwa kuyafuatisha baada yangu.Nakuelewa Sana Mkuu .... Ila ajabu hata Yule bwana aliyeshinda nimekuja kujua NI MTU WA kutoka mkoa naotoka...but anaishi the same direction na ninapoishi...plus WOTE WA haiba ,wajih na dini moja...je hio sio kwamba Ile ni sign ya kuonyesha pengine the voice ilikuwa true Kwa wakati ule!?
Besides nataman Sana kujua mengi kuhusu hili somo la voice within
Woow .very interesting Mkuu...hili pia naweza kuthibitisha ...maana kuna wakati nilikuwa mwajiriwa wa kampuni Fulani...baada ya kufutwa kazi kimagushi kuna karoho kakaniambia hiyo kampuni haitaendelea TENA...na nikamwambia mmoja WA rafiki zangu WA karibu Sana kuwa pale the big mistake wakiyoifanya NI kuniondoa...huu NI mwaka WA tatu pale na kweli Wana fight kupata furaha ya mafanikio wanaishia kupigwa kila msimu...Somo la kwanza ni self realization, kujitambua kuwa you have the powers na kusema kwa kukiri kwa kinywa maneno haya kwa kuyafuatisha baada yangu.
" I know I can!"...
"Be what I wanna be!"...
"If work hard enough "...
I know I can
Be what I wanna be
If I work hard at it
I'll be where I wanna be
I know I can (I know I can)
Be what I wanna be (be what I wanna be)
If I work hard at it (If I work hard it)
I'll be where I wanna be (I'll be where I wanna be)
Kisha tembelea hapa Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo? humo utamaliza kila kitu, ikiwemo jinsi ya kuikomba hiyo mihela ya kwenye betting!.
P
Ubarikiwe sana.Woow .very interesting Mkuu...hili pia naweza kuthibitisha ...maana kuna wakati nilikuwa mwajiriwa wa kampuni Fulani...baada ya kufutwa kazi kimagushi kuna karoho kakaniambia hiyo kampuni haitaendelea TENA...na nikamwambia mmoja WA rafiki zangu WA karibu Sana kuwa pale the big mistake wakiyoifanya NI kuniondoa...huu NI mwaka WA tatu pale na kweli Wana fight kupata furaha ya mafanikio wanaishia kupigwa kila msimu...
Je huenda ni karma..!?
Nitausoma Uzi wako TENA na TENA Kwa madini zaidi.
Mkuu AKILI TATU , kwanza asante kunianzishia thread, nina jambo languNdugu wanabodi kwanza niwape salamu, lakini kipekee nimpe salamu za heshima ndugu yetu hapa jamvini Pascal Mayalla , ambapo amekuwa kitujuza mambo mbalimbali haswa mada zake za Voice from within, binafsi nimekuwa shabiki wake bila kujali mada hizo zinamrengo gani.
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.Tumuombee mwanaJF Pascal Mayalla apitishwe
Wote tuseme Amen!
Mkuu, Pascal Mwenyezi Mungu akutangulie kwenye Jambo hili muhimu Kwa mustakabali WA Chama na nchi Kwa ujumla.Mkuu AKILI TATU , kwanza asante kunianzishia thread, nina jambo langu
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.
Hili jambo nimelianzia hapa Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
Nikakumbana na Kikwazo cha kwanza hapa Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie
Nikatoa ushauri kwa chama changu kuhusu EALA Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Kazi ya Uelimishaji Umma kuhusu EAC inaendelea Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano
Tukaitwa Dodoma kuhojiwa, huko nikakutana na A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!
Sasa leo ndio kikao cha CC kuchuja majina, hivyo sala zenu zinahitajika sana kuliko wakati mwingine wowote!.
Mungu Nisaidie!.
P
Amen, Amen, Amen!.Mkuu, Pascal Mwenyezi Mungu akutangulie kwenye Jambo hili muhimu Kwa mustakabali WA Chama na nchi Kwa ujumla.