Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

Sijasikia Pascal akiandika kuhusu kauli za Wabunge wa CCM Akina Msukuma na wengine, sijasikia akizungumziw kuhusu Bei ya Mafuta, sijasikia akizungumzia kuhusu Kada wao Anayesota gerezani Sabaya, yeye kutwa kucha Yuko na COVID-19 as if yeye ndio muasisi wa Chadema na mtunzi wa Katiba
 
Kama Mbowe anafanya hivi.Basi yeye na Zitto Kabwe hawana tofauti.Inawezekana hata CCM kule kuna Mambo anatuficha.Ukweli utakuja kujulikana tu siku moja.
Swali linabaki pale pale kwa wale waliokuwa kifungoni je walitolewa kifungoni kwa idhini ya Mbowe?? Na kama walitolewa kwa idhini ya Mbowe ,yeye Mbowe alikuwa nani katika utawala wa yule shetani?? Awamu ya tano ilijaa figisu figisu nyingi,chaguzi za 2019 na 2022 je ziliratibiwa na Mbowe??
 
Paschal,
Kuna shida mahali kwenye mfumo wako wa kufikiri. Hoja hii hii umeiotoa siku mbili zilizopita ukasema hayo hayo. Na umeulizwa maswali mengi sana
Hasa suala la Nusrat alitokaje magereza hujajibu.

Chadema waliomba tume ya uchaguzi wapewe nakala ya uteuzi wa wabumhe hao haikuitoa hadi leo.

Chadema wakasema kuna forgery polisi na vyombo hawajachunguza hadi leo.

Huyo kigogo anayewalinda ni wa serikali au chadema?

Kwa nini kama walikua na baraka ya chama waliapishiwa garage/jikoni na sio kwemye ukumbi wa bunge kama ilivyozoeleka?

Kwa nini Ndugai alijitapa kuwatetea hadi mwisho tofauti na wabunge wengine?

Mojawapo ya mtu mwemye tatizo la afya ya akili ni kuweweseka, kusikia sauti ambazo yeye mwenyewe ndio anazisikia "the voice from within". Ukisoma post hii na kuelewa kamtafute psychiatrist akuponye. Sababu umesahu muda si mrefu umetoka kusema hayo na umesahau. Pia umesema unasikia sikia sauti au echo ambazo zinakupa hizo taarifa kiongozi wa chadema ndio
..

Kama unachotaka kukisema unakifahamu be a man sema Paschal ndio aliyefanikisha huo mchongo kwa kushirikiana na kigogo.
Ukisoma wakati wa kigogo14 aliwahi kumtuhumu mtu lakini alishindwa kutoa ushahidi naona Paschal kapata sauti ya kigogo14 na kusingizia kigogo wa chadema
 
Kwa mantiki hii kila kitu hapa ni mchezo wa kuigiza! Kwa sisi tulio nje ya mifumo yao tunaamishwa ndivyo sivyo! Umenifikirisha juu ya hatma ya uongozi wa nchi yetu.
Kama ndivyo ilivyo basi itachukuwa muda nchi yetu kupata chama mbadala wa kuchukua dola.
 
Mwendazake aliwahi kusema"Mayala ni Njaa"
Paskali kama Paskali hana matatizo. Lakini pale Mayala alipovurugwa na Teuzi za kuishambilia CHADEMA , Mayala amekuwa Njaa Kweli Kweli.
 
Mzee Mayalla mbona hili suala linakupelekesha hivi? wewe andika yote ila naomba elezea suala la mtu alitoka magereza usiku na kuwa mbunge straight.

Waende mahakamani tukashuhudie vichekesho Ndugai na Mahera wakipanda kizimbani kujieleza
Mh, yaani ni KADA wa CCM at the same time ni MWANAHARAKATI wa CDM kudai HAKI ndani ya chama. Tutaona mengi .
 
Ufafanuzi ulioenda shule ndiyo huu,hawa akina Pascal Mayalla wanafanya watu watukane bila sababu yoyote,hata kama ni upagani siyo hivyo,kuwa mwandishi wa habari za uongo uongo na uchonganishi,kwa vile ni watu wanaotoka kanda ile ile ya mateso mateso basi kwao mateso na uongo ni halali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…