Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Nimeanza kuziona hizi gari sehemu kadhaa , vipi vipuri vyake vinapatikana?
Maduka yako sehemu gani , hapa DAR au Mwanza?
Mwisho vipi ubora wa hizi gari ,anayezijua aje atuambie , tumeanza kuchoka na Toyota sasa.
Maduka yako sehemu gani , hapa DAR au Mwanza?
Mwisho vipi ubora wa hizi gari ,anayezijua aje atuambie , tumeanza kuchoka na Toyota sasa.