Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Sasa mkuu we kijana unashindana na VX..

Mostly like wanaoendesha hayo magari ni watu wa makamo au wazee kabisa, macho yao hayaoni na nguvu/ misuli ya mikono kukamata sterling imelegea...sasa hao watashindana na sisi kweli?[emoji848]

Au mwingine sio expert barabarani full wenge..

In briefly unakutana na wachovu tu
Mkuu sehemu kubwa ya maisha yangu barabarani, nazijua ligi za kila aina za kila aina ya watu.. huwa sishindani na mtu asie shindana.. huwa ligi serious nazijua.. unikute na mie kichwa imewaka mbona tutauana, sema now days nimechoka na sijui kwanini, unaweza nianzishia uchokozi nikabaki nakutazama tu haijalishi nipo na gari gani😀😀
 
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!

View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909


Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!

Kina kitu kinaitwa *TOYOTA SIENTA SUV, Unakifaham..!
 
Muda mwingine umeweka funguo mfukoni Mara ktk ukaaji uibonyeze remote bila wewe mwenyewe kujua milango iko wazi tayari hapo.

Unakuta manyoya tu.
😀😀😀😀 unakuta wamekusaidia kuisafisha tu.. nashukuru gari yangu kama hujaifikia au hutazamani nayo hata ubonyeze hadi kulia haifunguki.. condition ya yenyewe kukubari mtazamane kwanza au uwe karibu nayo
 
Au baada ya ile ajali ya Tabora -Nzega iliyosababisha mpira uungue.......ila hongera kwa uamuzi huo ambao utatufanya tukusome sana hapa jukwaani
Sidhani kama ni ile , nimejikuta nakuwa mvivu kila nikitaka kupeleka moto najikuta mzito sanaa.. juzi kati nilikuwa na ka trip kadogo, hadi ist walikuwa wana nichakaza 😀😀
 
Mkuu sehemu kubwa ya maisha yangu barabarani, nazijua ligi za kila aina za kila aina ya watu.. huwa sishindani na mtu asie shindana.. huwa ligi serious nazijua.. unikute na mie kichwa imewaka mbona tutauana, sema now days nimechoka na sijui kwanini, unaweza nianzishia uchokozi nikabaki nakutazama tu haijalishi nipo na gari gani[emoji3][emoji3]
Ha ha ha basi umekuwa
 
Back
Top Bottom