witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Aaah wapi...hamjakutana na manunda nyie[emoji16]Usichezee kabisa moto wetu , ukute tupo serious, utavaa aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi...hamjakutana na manunda nyie[emoji16]Usichezee kabisa moto wetu , ukute tupo serious, utavaa aibu
Mkuu sehemu kubwa ya maisha yangu barabarani, nazijua ligi za kila aina za kila aina ya watu.. huwa sishindani na mtu asie shindana.. huwa ligi serious nazijua.. unikute na mie kichwa imewaka mbona tutauana, sema now days nimechoka na sijui kwanini, unaweza nianzishia uchokozi nikabaki nakutazama tu haijalishi nipo na gari gani😀😀Sasa mkuu we kijana unashindana na VX..
Mostly like wanaoendesha hayo magari ni watu wa makamo au wazee kabisa, macho yao hayaoni na nguvu/ misuli ya mikono kukamata sterling imelegea...sasa hao watashindana na sisi kweli?[emoji848]
Au mwingine sio expert barabarani full wenge..
In briefly unakutana na wachovu tu
Tyre kama sijakose na kama gari ipo stable .. hutojua utashangaa unatembea rim 😀😀Mziki mkubwa ukiwa unadrive ni hatari sana, Kuna ishu ilinikuta (sitahadithia humu) nilijuta
Nimekoma
Ka mahondaw ketu sijui kanajifungua.. kamepotea sanaa
Basi mie nikuombe nunda wewe.. tuchape mwendo kutokea ulipo hadi bagamoyo tu na kurudi 😀😀😀😀.. mafuta juu ya ExtrovertAaah wapi...hamjakutana na manunda nyie[emoji16]
Sie tunaleta chakula tu 😀😀Kudadadeki unaweza kuwa mkimbizi keko
VX-R wale wazee wa mambo yenu ndio mahala pake, mtu akiingia hatoki 😀😀Hahahahahaha ila VX-R ni unyama mwingi sana mle 😂😂😂 lile gari ni kubwa kinyama hata Y62 ni bonge la jigari yani kama unaendesha kagari kadogo ukipaki pembeni unaweza hisi umepaki pembeni ya Container 😅
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
😀😀😀😀😀😀 wanapima ubavu nao waonekane wamoHayo magari niliyotaja kama wewe ni mshinda barabarani utajua...wanapenda mashindano mnoo mnoo
Ni kweli mkuu, na ukipoteza funguo ndio utajua hujuiNa kuiweka mfukoni Kuna hatihati ya kupotea,mi naona kuining'iza ndo kwenyewe
Sensor eeh! Kwa tusio tumia sensor mwendo wa mfukoni tyHii ni kweli...kingine funguo kuuweka mfukoni unaharibu sensor
Muda mwingine umeweka funguo mfukoni Mara ktk ukaaji uibonyeze remote bila wewe mwenyewe kujua milango iko wazi tayari hapo.Na kuiweka mfukoni Kuna hatihati ya kupotea,mi naona kuining'iza ndo kwenyewe
😀😀😀😀 unakuta wamekusaidia kuisafisha tu.. nashukuru gari yangu kama hujaifikia au hutazamani nayo hata ubonyeze hadi kulia haifunguki.. condition ya yenyewe kukubari mtazamane kwanza au uwe karibu nayoMuda mwingine umeweka funguo mfukoni Mara ktk ukaaji uibonyeze remote bila wewe mwenyewe kujua milango iko wazi tayari hapo.
Unakuta manyoya tu.
Miaka ile ......daaahNdio hilo hilo mkuu, ili kupunguza maumivu ya mkaaji tulikuwa tunaweka sponge flani kama kitambaa 😀😀
Au baada ya ile ajali ya Tabora -Nzega iliyosababisha mpira uungue.......ila hongera kwa uamuzi huo ambao utatufanya tukusome sana hapa jukwaaniMkuu, siku hizi sikimbizi gari, sijui nimepatwa na nini.. hata staret zina nichapa kavu kavu 😀😀😀😀.. nimebaki kuwa mtazamaji tu
Sidhani kama ni ile , nimejikuta nakuwa mvivu kila nikitaka kupeleka moto najikuta mzito sanaa.. juzi kati nilikuwa na ka trip kadogo, hadi ist walikuwa wana nichakaza 😀😀Au baada ya ile ajali ya Tabora -Nzega iliyosababisha mpira uungue.......ila hongera kwa uamuzi huo ambao utatufanya tukusome sana hapa jukwaani
Zamani ilikuwa raha, maisha yalikuwa harisi sana, sasa hivi watoto hata kuendesha baiskeli hawajui.. technology imewafanya kama wa sayari ingineMiaka ile ......daaah
Ha ha ha basi umekuwaMkuu sehemu kubwa ya maisha yangu barabarani, nazijua ligi za kila aina za kila aina ya watu.. huwa sishindani na mtu asie shindana.. huwa ligi serious nazijua.. unikute na mie kichwa imewaka mbona tutauana, sema now days nimechoka na sijui kwanini, unaweza nianzishia uchokozi nikabaki nakutazama tu haijalishi nipo na gari gani[emoji3][emoji3]
Exactly...umelenga mle mleTyre kama sijakose na kama gari ipo stable .. hutojua utashangaa unatembea rim [emoji3][emoji3]