Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Ila ligi na wewe nimepata kibali cha wakuu zangu, kesho alfajiri na mepama nitakusubiri tangi bovu, tuzichape hadi pale mwenge tu.. inakuwa inatosha [emoji3][emoji3][emoji3]
Aaah nimeghairi huyo RRONDO sijui anakujua mziki wako kaniogopesha balaa[emoji1787][emoji1787][emoji23]

Mkuu nimesalimu amri[emoji119][emoji119]

Heshima ako mtakatifu mwanaume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hio ni zaidi ya dharau msee, 100M back!
Hizi mbona kawaida sana.. binafsi nimezifanya sana.. unamuacha mtu au unacheza tu nyuma yake kumkela, unaona kabisa mtu anajitutumua aweke heshima na wewe unacheza nyuma yake, then unamuacha aone kama kakuweza, ndani ya sekunde chache umepita kama mshale 😀😀😀😀... hakuoni tena .. hizi moments nita zimiss sana
 
Hizi mbona kawaida sana.. binafsi nimezifanya sana.. unamuacha mtu au unacheza tu nyuma yake kumkela, unaona kabisa mtu anajitutumua aweke heshima na wewe unacheza nyuma yake, then unamuacha aone kama kakuweza, ndani ya sekunde chache umepita kama mshale 😀😀😀😀... hakuoni tena .. hizi moments nita zimiss sana
Hahahahah unataka uuze chombo nini mzee mbona sentensi tata hizi 😅😅😅
 
Hahahahah unataka uuze chombo nini mzee mbona sentensi tata hizi 😅😅😅
Hii naonga mzee baba, makakti wangu unajua mzee kuvuta chuma matata sana E350 AMG mwakani Audi A7 Sportback au BMW M series hasa M5.. Hiyo mwakani lakini but kwa mwaka huu E350 AMG lazima iingie magetoni mitaa ya chalinze pale kati kati 😀😀
 
Aaah nimeghairi huyo RRONDO sijui anakujua mziki wako kaniogopesha balaa[emoji1787][emoji1787][emoji23]

Mkuu nimesalimu amri[emoji119][emoji119]

Heshima ako mtakatifu mwanaume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiogope njoo upate ubatizo mtakatifu 😂😂😂 pale ambapo Tyson anapigwa na mtoto wa darasa la 2 hadi analia
 
Hii naonga mzee baba, makakti wangu unajua mzee kuvuta chuma matata sana E350 AMG mwakani Audi A7 Sportback au BMW M series hasa M5.. Hiyo mwakani lakini but kwa mwaka huu E350 AMG lazima iingie magetoni mitaa ya chalinze pale kati kati 😀😀
Hahahah nakubali mzee mwenzangu, angusha kitu roho inataka 😅😅😅 Jux kashusha moja changanyikeni hapo imeletwa na Crane juzi kati! Sick white Benzo!
 
Back
Top Bottom