witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kwamba hizo button zinanyanyua susp. Eti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hizo button zinanyanyua susp. Eti?
Halafu huu mchuma wako wallah[emoji14][emoji14]
Hapa umenigusa bila kumsahau kaka yake LC 70s
Wanaume mnapenda sana haya magari[emoji177]
Cheap, easy to maintain and reliable…Hivoo??
Kisa?
Cheap?Cheap, easy to maintain and reliable…
Hii ni gari ya kazi. Kokote unafikaWanaume mnapenda sana haya magari[emoji177]
At least this reason can make senseHii ni gari ya kazi. Kokote unafika
Kuanzia bei ya kununua, spare parts na pia maintenance cost iko chini + inadumu. Kuanzia babu mpaka mjukuu anatumiaCheap?
That great mkuu...na ndoto yako ikatimieKuanzia bei ya kununua, spare parts na pia cost maintenance Iko chini + inadumu. Kuanzia babu mpaka mjukuu anatumia
Ndio zinanyua unakuwa juu juu , unapita unapotaka kupitaKwamba hizo button zinanyanyua susp. Eti?
Chuma yangu hii mkuu, umeona inavyong'aaaHalafu huu mchuma wako wallah[emoji14][emoji14]
Asee kama kweli huu ndo mchuma wako nimekuogopa bure..ningekunyuka barabarani akili ingekukaa sawa bahati yako nimeshaghairi zoezi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Don't judge a book by its cover...hujui kwenye bonnet wameficha nini...😂Asee kama kweli huu ndo mchuma wako nimekuogopa bure..ningekunyuka barabarani akili ingekukaa sawa bahati yako nimeshaghairi zoezi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mmmh hapana asee...umeniogopesha buure!Don't judge a book by its cover...hujui kwenye bonnet wameficha nini...[emoji23]
😅😂😂Mmmh hapana asee...umeniogopesha buure!
Haki kama ni hii gari kama mbwai iwe mbwai tuingie road[emoji16][emoji16][emoji14][emoji14]
Kesho asubuhi utanikuta hapa mbuyuni nakusubiri 🙂🙂🙂Mmmh hapana asee...umeniogopesha buure!
Haki kama ni hii gari kama mbwai iwe mbwai tuingie road[emoji16][emoji16][emoji14][emoji14]
😀😀😀 hii unanikumbusha majuzi, nilikuta kuna Crown, Brevis na IST zichuana hatari, mie nikawa nawafukuza kimya kimya nilikuwa na enjoy kuona ligi yao sikuruhusu waniache, nikawa najiuliza ile IST ina nini , kalikuwa na nguvu ya jabu sana, badae na mie nikaungaaa, kama kawa nikaweka sport mode, chap nimewakata, nikahakikisha hawanioni na siwaoni ndio nikarudi kwenye mwendo wa kawaida yule mwenye Brevi tokea pale akawaacha wenzake nae akawa nyuma yangu hakuta nipita tena, hadi nimefika kwenye point yangu ta mwisho ndio akaendelea zake nae ... hakuamini nilivyo chana wimbi naonaDon't judge a book by its cover...hujui kwenye bonnet wameficha nini...😂
ApiaKesho asubuhi utanikuta hapa mbuyuni nakusubiri [emoji846][emoji846][emoji846]