nashindwa kuwaelewa mnasema dunia nzima wakati scania wana 124 horse power 800 na haya ni model ya 2011 na 2012 hii 2016 mnazungumzia gari yenye 650hp kuwa ndio kubwa kuriko zote duniani dunia ya wapi hiyo watu sasa wanatengeneza engine za 1000hp mpaka 2000hp..
Na malori bora na imara ukiondoa za kimarekani ni Mercedes benz Axor..Man diesel ndio wanafatana hao Scania na Volvo...Man diesel ndio Truck inayoweza kusafiri na mzigo kwa umbali mrefu bila kuchemsha hauzimi truck mnabadili dereva tuu...
yaa ni Actros iyo truck hakuna ya kufananisha...wasomali mozambique wanatumia sana izo wao hawahangaiki na Scania hata umwambie nini...volvo ipo poa sema naona mafundi hawayajui haya bongo...Bro ni axor au Actros aisee me ninavojua ni actros ndo kali sana axor walitoa model n kama kwa scania kua na P series ila actros nafananisha na R series au kwa volvo axor n kama FMx
stralis ivi izo stralis zina uimara mbona South zipo bei chini sana mpaka naogopa maana sijui chochote kuhusu izo na zipo za kumwaga bei ndogo na zinaonekana vizuri sana em kama unazijua vizuri nipe nondo
AL MADINA COMPUTERSMkongwe katika muziki wa Hip Hop Bongo, Inspector ‘Babu’ Haroon, amesema anamshukuru Mungu kwa kumjaalia kukamilisha ujenzi wa nyumba zake mbili jijini Dar es salaam.
Akizungumza kupitia Segment ya ‘Nje Ndani’ inayoruka kupitia Times Fm, Hit maker huyo wa ‘Asali ya moyo’ alidai watu wengi hawajui kama yeye amevuna pesa kadhaa za kumtosha kiasi tangu aanze muziki.
“Mpaka sasa hivi kuna sehemu kama mbili zimeshakamilika kabisa, nyumba mbili, ya kwanza ipo Kongowe na nyingine ukivuka kivule panaitwa Ngondole” Alifunguka.
Katika hatua nyingine msanii huyo alidai hababaishwi na baadhi ya wasanii wenzake wa Hip Hop wanaomuimba vibaya kwenye Lines zao, kwa sababu wanamtumia kama daraja la kuyafikia mafanikio.
AL MADINA COMPUTERSView attachment 334081
Hii model FH zina 610 horsepower kwa bongo ziko mbili tu kwa azam na ndo gar zenye horsepower kubwa bongo nzima.
wewe unajenga wapi?AL MADINA COMPUTERS
Tunafanya huduma ya kutengeneza magari ya aina mbalimbali (Diagnosis) kwa kutumia Komputer kutoka (America,Asia,Europe na China) na heavy equipment kama Cat, Excavator.,Roller,MAN,HINO,VOLVO ,IVECO, JAC, KIA,JIANG FENG,BULLDOZER,AGRICULTURAL MACHINERY,FIAT,BORMAG ROLLER,PERKINS MACHINES,BENZ n.k
Mchanganuo wa gharama ni kama Ifuatavyo
1.Magari madogo ya Japan - $30
2.Magari size ya kati- $50
3.Magari aina ya Fuso- $70
4.Lories-$100
5.Excavator-$200
6.other Heavy Equipment-$300-$400
Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa simu na. 0766583227
Volvo achana nayo mkuu, ile power yake ni kubwa kuliko trucks zote.nashindwa kuwaelewa mnasema dunia nzima wakati scania wana 124 horse power 800 na haya ni model ya 2011 na 2012 hii 2016 mnazungumzia gari yenye 650hp kuwa ndio kubwa kuriko zote duniani dunia ya wapi hiyo watu sasa wanatengeneza engine za 1000hp mpaka 2000hp..
hp is what sell most car but torque let you do the work , wote mnaongea kuhusu hp bt am sure wengi wao hawajui how hp is calculated
hcho hcho kwa mfano tukiwa na twisting force sawa wote tuna six cylinder alafu we uka calculate hp at 2200rpm na mm @ 1900rpm huon ka tutakuwa na tofaut ya hp 50 hvy gar lako kuonekana lina nguv wakat tuko sawa ?Au unataka kusema Hiki kitu kua
Horsepower=(Torque x RPM)/5252
Haya hapo vp