Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Habari,
Jamani nina hii tatizo mwenzenu siku ya 3 leo.
Ilianza kutapika juzi asubuhi ikafuatiwa na Diarhea.
Kutapika ilishaacha ila Diarrhea inaendelea.
Hivi mtu unaweza kuwa na Diarrhea kwa siku 3 mfulululizo? haijawahi kunitokea.
Nilipoenda hospital walipima typhoid hamna, Malaria hamna , mkojo upo poa. Natumia dawa NORZOLE siku ya pili hii dawa ya siku 5. Nilitegemea hii itakuwa dawa ya kufunga kuendesha.
Sasa nifanyeje wajameni nistopishe dawa ama ?
Jamani nina hii tatizo mwenzenu siku ya 3 leo.
Ilianza kutapika juzi asubuhi ikafuatiwa na Diarhea.
Kutapika ilishaacha ila Diarrhea inaendelea.
Hivi mtu unaweza kuwa na Diarrhea kwa siku 3 mfulululizo? haijawahi kunitokea.
Nilipoenda hospital walipima typhoid hamna, Malaria hamna , mkojo upo poa. Natumia dawa NORZOLE siku ya pili hii dawa ya siku 5. Nilitegemea hii itakuwa dawa ya kufunga kuendesha.
Sasa nifanyeje wajameni nistopishe dawa ama ?