Ta-kibombo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 644
- 503
Alikuuzia ww hiyo nyuchi?[emoji15] [emoji23]Hawa wanawake ni wauza nyuchi hawana lolote kuliko nimalize mb, zangu kuvote bora nigoogle jinsi ya kutengeneza ubuyu wa zanzibar nipate pesa chaaa
What is this you mean? This the English is so nyoooko, isn't it?
This English is from USA, it has came today today by birdMkuu vipi tena mbona hivyo. Hii English ya wapi mkuu?
Plz guys tuendelee kumpigia kura mpendwa wetu @hamisamobetto kumpigia kura ni rahisi post picha yake ig au twitter thn weka hashtag [HASHTAG]#ivotehamisamobetto[/HASHTAG]
[HASHTAG]#asfa2016[/HASHTAG]
[HASHTAG]#asfa2016nominee[/HASHTAG] hadi hapo utakuwa umempigia kura au ingia katika bio yangu bonyeza link Vote | Abryanz Style and Fashion Awardsitakupeleka moja kwa moja kwa nominee chagua fashionisha of the year female (east africa) utaona jina la hamisa mobetto bonyeza kwenye vote na usisahau kujisajili kwa facebook au twitter
[HASHTAG]#letsvoteguys[/HASHTAG]
[HASHTAG]#umojaninguvu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#uzalendokwanza[/HASHTAG]
This English is from USA, it has came today today by bird
Weka picha yako kwanza tuioneNdo nani huyo
Hata ivyo mbona kazeeka ivyo usoni
HahahahahahaWhat is this you mean? This the English is so nyoooko, isn't it?
Mkuu ungeishia tu kwenye can't vote for her! Huko ulikoendelea mmh!Can't vote for her! coz the other time she voted for some one causing our buy now budden!
MmmhStupid Minds... We are we heading?
Mmmh it is the English eclipseStupid Minds... We are we heading?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ampigie kura zari kwanza na Mimi ntampigia