Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa Rev. Masanilo.
Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->
Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
Anaitwa Rev. Masanilo.
Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->
Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
Anaitwa Rev. Masanilo.
Sababu: Huyu ni mzalendo halisi, kama avatar yake inavyovutia na kujawa na kila dalili ya busara ya mzee wa kijiji, ndivyo alivyo ndani ya JF<!-- google_ad_section_end -->
Siyo kweli kama unaangalia jina sawa ila comments/mchango wake mara nyingi unakuwa tata na lugha si nzuri hata kidogo!
Mkuu Ndiba, hebu tuletee tumuone Preta, alafu tuambie kwa nini unadhani ni funika bovu??????
unamaanisha hii...........View attachment 18595
![]()
Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick
![]()
Mimi huyu ndio aliyeniacha hoi,kwanza kajitambulisha kama mzungu na anaelewa kiswahili utasema mzaramo,na ukisoma comment zake sasa....!!Na jina lake ndio balaa anajiita Ze Dick